3.Achana na matumizi vinywaji vyenye sukari vya viwandani kama vile soda, pia epuka matumizi ya pombe hasa bia.
“Kitambi sio afya, ni dalili ya magonjwa, piga vita kitambi”
Swali la muhimu ni; je ni pombe ya aina gani?? Ama kwa hakika sio bia ambayo ina carbohydrates za kutosha, bali huwa wana recommend wine, a glass of wine per day. Sky Eclat[/QUOTE]Hapo kwenye red ndiyo mchawi mkubwa kabisa, lakini WHO wanasema kunywa pombe in moderation kunaongeza siku za kuishi.
Hapana,vitambi ndio vinazidi.Njoo mitaani kwetu,wana vitambi vikubwa na kutembea kwa kuchuchumaa kama kangaroo.Mleta uzi utaeleweka kwa wachache wanaoelewa.Lakini wengi wetu tunadhani kitambi ndio utajiri na heshima.Sasa hivi hili ni janga duniani ,ndoa nyingi zina migogoro kisababishi kikiwa uzito mkubwa kupindukia kwa wanaume.Dr. Wansegamila hili tatizo linapungua Dar tangu rais wa awamu ya tano aingie madarakani.
Youtube kuna video nyingi zinafundisha kuhusu hilimwenye kujua mazoez ya kutoa/punguza ktambi ayaweke hapa
1. THE BICYCLE EXERCISE
Lala chali huku mikono yako ikiwa chini ya kichwa chako, leta magoti yako kifuani huku ukinyanyua mabega juu. Taratibu leta kiwiko chako cha kulia hadi kwenye goti la kushoto huku ukinyoosha mguu wako wa kulia. Badili na upande mwingine na ufanye kama unakanyaga pedeli za baiskeli. Fanya zoezi hili seti 1-3 kwa kurudia mara 12-16.
2. EXERCISE BALL CRUNCH
Katika zoezi hili mpira wa mazoezi ni lazima uwepo. Kufanya zoezi hili lala juu ya mpira huku sehemu ya chini ya mgongo ikiwa imeegama vizuri. Weka viganja vya mikono nyuma ya kichwa. Fanya zoezi hili seti 1-3 kwa kurudia mara 12-16.
3. VERTICAL LEG CRUNCH
Kufanya zoezi hili, lala kwenye sakafu nyoosha miguu, halafu kunja magoti, weka viganja vya mikono chini ya kichwa. Fanya zoezi hili seti 1-3 kwa kurudia mara 12-16
4. LONG ARM CRUNCH
Kufanya zoezi hili, lala kwenye sakafu au mkeka halafu nyoosha mikono yako nyuma iwe karibu na masikio yako. Fanya zoezi hili seti 1-3 kwa kurudia mara 12-16.
Hii sikua najuani hatari kiafya kukurupuka kuanza mazoezi ya kuondoa kitambi .. ni vyema kwanza ukaanza na mazoezi ya kutembea umbali mrefu,kisha kukimbia kwa speed ndogo walau kwa mwezi 1 mfulurizo kisha ndio uanze sasa kukata tumbo.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mjadili kwakweli..... Takko kumi chaliii inabaki kuhemea juu juu
Okay kikao chema bye
Mwenzangu unataka tako ngapi? Maana hzo kwangu ni maximum, kawaida ni tako 3,then fyuuuuuuuuuuMjadili kwakweli..... Takko kumi chaliii inabaki kuhemea juu juu
Okay kikao chema bye