What is the best time to do exercise? Asubuhi au jioni? Kukimbia km 50 sio kitu kidogo. Lazima ujipange kweliTripo9 mbona kama unalijua suluhisho la tatizo lako??? Anza mazoezi ya kukimbia asubuhi kama kilomita 50 kwa siku, ni simple and affordable!!
Matokeo utayaona mapema sana. Usikubali mtu akikwambia punguza kula, labda vyakula vya mafuta na sukari kama bia, soda and chocolates!!
Jamani tumbo langu naona linaanza kua kubwa. Nadhani hukuninakoelekea nitakua naambiwa nina "Kitambi". I hate this.
Naombeni munishauri nifanye nini. Mimi wala sio mnene ni mwembamba tu wastani.
HINT: Sifanyagi mazoezi
Kama suala ni kufanya mazoezi naombeni wataalam munielekeze ni mazoezi gani nifanye.
Thanxini.
Punguza vyakula vyenye wanga, mafuta na protein nyingi. Unatakiwa kule vyote ila siyo vingi na mara kwa mara. Fanya mazoezi ya kutembea, kuogelea na viungo kama sit/up. Beer pia ni tatizo kubwa sana. Binafsi niko kwenye diet sasa hivi sijala ugali, wali, viazi, nyama, beer, mafuta, chumvi wala sukari kwa mwezi sasa na mabadiliko nina yaona.
Asante mkuu Bia situmii na ntazingatia kuhusu msosi! Na nimeanza mazoez ya kukimbia na kuna zoez la kukata tumbo nilishauriwa nilifanye ila ni gumu kiuno kinauma je ni kwel linasaidia?
Resign kazini kitaisha tu bila hata kufanya zoezi hata moja
Resign kazini kitaisha tu bila hata kufanya zoezi hata moja