Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kaka mie inanipa nguvu sana 😁😂🤣Mimi ndie niliye kupa dawa ya madonda ya tumbo(kwa ajili ya maumivu) ila wewe una ibadilisha dhumuni lake🤔🤔🙄.
👉Acha ujingaa, mta kuja kufaa- hiyo dawa ni ya maumivu makali sana
Ngoja nijaribu hii kaka ntakuja kuleta mrejeshoNa una pona kabisa, iki feli Nita wapa nyingine.
👉Acha kutumia tramadol, sio nzuri kabisa
Kunywa na maji mengi ili ukiwa unakojoa itakusaidia kupata raha au loweka mabamia halafu kunywa asubuhi na jioni😃😃Sasa Itabid niwe nashindia bamia
Lamomy Wii nipe Bei elekezi
Khe😃😃Kunywa na maji mengi ili ukiwa unakojoa itakusaidia kupata raha au loweka mabamia halafu kunywa asubuhi na jioni
🤣🤣🤣Utakuwa na k tamu sana na itakuwa aishiwi utelezi mumeo atapata raha sana 😋 mie mke wangu anatumia sana mabamia aishiwi utelezi napiga magoli mfululu hadi rahaKhe😃😃
UTA. Nishtua, Kwenye msba wako🤣🙄Kaka mie inanipa nguvu sana 😁😂🤣
🤣🤣🤣UTA. Nishtua, Kwenye msba wako🤣🙄
Kumbe unachokagaLisaa lizima kwenye kifua cha mtu unatafuta nini?
Njoo nikuuzie vumbi la Congo
Itafute hiyo🫡😊.
Unapaka dakika 10 kabla ya show,wazungu utawatafuta kwa tochi😊.tupe sifa zake mkuu
Eh bc polemimi limenikataa mkuu, au kuna sehemu nakwama?
Eh bc pole
Hahahaha,, skia jitahid uwe unatumia alovera chungu saga pamoja na vitunguu swaumu kadiria maji kiasi upate glass 1 kabla ya mlo na nyingine jion baada ya mlo,, ukipiga doz hiyo alau mara 4 Kwa mwezi urudishe majibu hapa!Nina tatizo sugu ila nahisi sio peke yangu, nilisikiliza comedy moja ya black america yule aliepigwa kofi na Wily Smith, alisema usisikie sijui unaweza kunyuri mara mbili au tatu, alidai hayo ni maneno ya kupeana moyo tu, ukishapiga goli moja ndio imetoka, kuendelea na game ni kutafuta kuadhirika, alimalizia kwa msemo huo.
Sasa zipo dawa za kuondoa tatizo hili labda lifike lisaa na nusu au zaidi? Njia yangu kuu kila dizaini huisabu mara mia tatu kisha nabadilisha, ndio angalau ninachukua muda mrefu.
Kama si hivyo nikiguswa tu nishavuruga.
Hata hvy unatakiwa kupaka kidognaomba kujua kiwango cha kupaka labda huwa napaka kidogo