suzy daniel
Member
- Mar 12, 2014
- 57
- 10
habar zen, nina mwez sasa tang niache ku2mia njia za uzaz wa mpango nime2mia kwa mda wa miez 6 cha kushangaza cjaona ck zang tangu nilipokuwa nik2mia had leo ambapo nimemaliza mwez toka niachane nazo kwa anaejua anaejua dawa ansadie ili niwezekuona ck zang
Sasa wakati unaziuza siku zako, ulitegemea nani aje akununulie?
Afu kufoce brid ndio nini?
Anyway, huwa inachukua mwezi hadi miezi kadhaa hedhi kurudi katika mfumo wake wa kawaida, mwezi 1? 2? 3? 4?, kila mtu kivyake. Sasa kama una wasi wasi, rudi kwa waliokushauri kutumia njia husika ya uzazi wa mpango kwa maelezo zaidi.
Huwezi 'kufoce brid', labda ujipige kichenga inside V, vinginevyo, uache mwili urudi katika hali yake ya kawaida baada ya kuu-disturb na hormone atifisho.
Lol,nimecheka sina mbavu jamani, inaelekea mrembo alitumia njia ya sindano sasa "brid" imekwama, ajipe muda kwanza kabla hajatafuta hizo mbinu za kufoce brid inaweza kuwa mwili haukupana na uzazi wa mpango alioutumia, asi foce brid kwa njia mbadala.
ushaur mzur nitauzngatia but ilimwil urudie har yake ya kupata mzunguko wake kawaida maxmum inaweza chukuwa mdagan? Kuna wa2 wananambia hta mwaka nisaidien kwan nina waswas xna
habar zen, nina mwez sasa tang niache ku2mia njia za uzaz wa mpango nime2mia kwa mda wa miez 6 cha kushangaza cjaona ck zang tangu nilipokuwa nik2mia had leo ambapo nimemaliza mwez toka niachane nazo kwa anaejua anaejua dawa ansadie ili niwezekuona ck zang
ushaur mzur nitauzngatia but ilimwil urudie har yake ya kupata mzunguko wake kawaida maxmum inaweza chukuwa mdagan? Kuna wa2 wananambia hta mwaka nisaidien kwan nina waswas xna
habar zen, nina mwez sasa tang niache ku2mia njia za uzaz wa mpango nime2mia kwa mda wa miez 6 cha kushangaza cjaona ck zang tangu nilipokuwa nik2mia had leo ambapo nimemaliza mwez toka niachane nazo kwa anaejua anaejua dawa ansadie ili niwezekuona ck zang