suzy daniel
Member
- Mar 12, 2014
- 57
- 10
Habar zenu, nina mwezi sasa tangu n0iache kutumia njia za uzazi wa mpango nimetumia kwa muda wa miezi 6 cha kushangaza sijaona siku zangu tangu nilipokuwa niktumia hadi leo ambapo nimemaliza mwezi toka niachane nazo kwa anaejua anaejua dawa ansadie ili niwezekuona siku zangu