kivipi kwanini ulitumia kwenye ngombeBro nilitumia chanjo yake kwenye ng'ombe mwaka jana
Hizi dawa ni shida
Full maubunifu aiseh
watu wote kimya hakuna wa kunisaidia aliyeweka No anataka atumiwe tu hela yeye haelewi somo lingine tuma hela utaupata mzigo wako. mimi mpe dereva tukabidhiane ana kwa ana hatakiWadau Habari zenu. Kuna dawa kuku mpya nilisikia muda kidogo ikitangazwa kwenye redio jina sikumbuki vizuri maana nilisikia kwa mbali tatu kwa moja yaani inakuwa na newcaster na mchanganyiko wa dawa zingine mbili na kufanya kuwa mchanganyiko wa dawa tatu kwa pamoja sasa swali langu kwa kisiwa cha habari Jamii forum hii dawa naweza kuipata wapi kwa maeneo ya mbagala, kariakoo na buguruni?
Nahitaji kwa haraka sana na kama unafahamu bei yake nijulishe pia
Zinapatikana kwa sana maduka ya pembejeo za kilimo, Morogoro mjini sababu ndipo zinapotokaWadau Habari zenu. Kuna dawa kuku mpya nilisikia muda kidogo ikitangazwa kwenye redio jina sikumbuki vizuri maana nilisikia kwa mbali tatu kwa moja yaani inakuwa na newcaster na mchanganyiko wa dawa zingine mbili na kufanya kuwa mchanganyiko wa dawa tatu kwa pamoja sasa swali langu kwa kisiwa cha habari Jamii forum hii dawa naweza kuipata wapi kwa maeneo ya mbagala, kariakoo na buguruni?
Nahitaji kwa haraka sana na kama unafahamu bei yake nijulishe pia
Hongera sana mimi natafuta ya mbuzi ili niweze kuwakinga na Goat pokes napataje?Nashukuru nilipata mbagala na wala sikusumbuka mwaka jana niliulizia nikaambiwa hawaijui nami nikakata tamaa ila jumamosi niliipata na kuwapa kuku asanteni kwa wale mliodhubutu kunisaidia
zinaitwaje mkuu na wapi zapatikana?Bro nilitumia chanjo yake kwenye ng'ombe mwaka jana
Hizi dawa ni shida
Full maubunifu aiseh