Dawa ya kukupa hamu ya mapenzi kwa mwanamke

Dawa ya kukupa hamu ya mapenzi kwa mwanamke

situmai

Member
Joined
Jun 29, 2012
Posts
85
Reaction score
18
Habari wana JF,

Hivi kuna dawa ambayo ukinywa labda inakupa hamu ya kufanya mapenzi kwa mwanamke?

Tusaidiane
 
habari wana jf .hv kuna dawa ambayo ukinywa labda inakupa hamu ya kufanya mapenzi kwa mwanamke? tusaidiane
Tiba Zipo Nyingi Lakin Aujasema Inakuaje Mpka Hamu Hakuna? Usije Pewa Overdose!!
 
Ipo Dawa Mie Naifahamu Tena Yakisasa Yaani Mwanamke Akiiramba Tu Wala Haumtongozi Unamshika Tu Mkono Hadi Chumbani Unajilia Vyako
 
habari wana jf .hv kuna dawa ambayo ukinywa labda inakupa hamu ya kufanya mapenzi kwa mwanamke? tusaidiane
zipo big g za kutafuna very cheap zinaamsha hormones na unapata hamu.
 
Dawa nyingine ni kufanya mapenzi na mtu unaye mfeel,
 
Kwanza ungetufahamisha una umri gani, ungeelezea japo story yako ikoje zamani ulikuwaje na sasa ukoje na huyo mwenza ulo nae mkoje katika mahusiano, hapo tungeweza kukupa jibu sahihi, japo kwa upande wangu sijawahi sikia hiyo dawa, nijuavyo ukiwa upo na mtu unaempenda na kama anayajua mapenzi hamu ya kufanya huja yenyewe, labda kwanza wewe mwenyewe iandae akili yako kwa hilo tendo na mwili wako utengeze uwe mzuri kwa tendo, yani mwenza wako awe na hamu ya kufanya na wewe kila mara, usikute hamu imepotea sabab huyo mweza wako hana hamu ya kufanya na wewe pia, kwkahiyo hakufanyii mashasham ya kukutamanisha kufanya huo mchezo.
 
Kwanza ungetufahamisha una umri gani, ungeelezea japo story yako ikoje zamani ulikuwaje na sasa ukoje na huyo mwenza ulo nae mkoje katika mahusiano, hapo tungeweza kukupa jibu sahihi, japo kwa upande wangu sijawahi sikia hiyo dawa, nijuavyo ukiwa upo na mtu unaempenda na kama anayajua mapenzi hamu ya kufanya huja yenyewe, labda kwanza wewe mwenyewe iandae akili yako kwa hilo tendo na mwili wako utengeze uwe mzuri kwa tendo, yani mwenza wako awe na hamu ya kufanya na wewe kila mara, usikute hamu imepotea sabab huyo mweza wako hana hamu ya kufanya na wewe pia, kwkahiyo hakufanyii mashasham ya kukutamanisha kufanya huo mchezo.
Umeongea kama Dr Year wa kike
 
Ipo Dawa Mie Naifahamu Tena Yakisasa Yaani Mwanamke Akiiramba Tu Wala Haumtongozi Unamshika Tu Mkono Hadi Chumbani Unajilia Vyako

Nyie ndo mnaochora watu wanaruka sarakasi kwenye mitihani ya history necta.
 
1457343645987.jpg
 
Nyie ndo mnaochora watu wanaruka sarakasi kwenye mitihani ya history necta.
Usilete Ubishi Kama Wewe Ni Demu Nitafte Nikupe Unywe Tone Lake Tu Uone Ndani Ya Dk 10 Kama Hautaniganda Nikakushughurikie
 
Hupaswa kushangaa mkuu, ni hali halisi iliyopo.

Hili tatizo lipo kwa dada zetu au mama zetu kukosa hamu ya kushiri unyumba.

Wengine hili tatizo huletwa na njia ya uzazi wa mpango wanayotumia, mfano imeripotiwa kwa baadhi waliotumia Vipandikizi au sindano hukosa kabisa hamu ya kufanya mapenzi.
 
Back
Top Bottom