Ricardo Damiano
Senior Member
- Nov 4, 2011
- 103
- 80
Habarny wapendw wa jf minilikua na swal moja na ningehtaj msaada wenu.,kama nikitaka kunenepa nifanyeje maana mi ni mwembamba had daah.,na kuhusu kula na kula na dawa ya minyoo nime2mia sasa cjui nifanyeje ushaur kwa mlio madaktar wa ukweee.