Dawa ya kunenepesha na kurefusha uume kwa wenye matatizo

Dawa ya kunenepesha na kurefusha uume kwa wenye matatizo

UONGO MTUPU!!!!! WEWE KING KESSY TAPELI MKUBWA! UMEKULA PESA YANGU NA DAWA HUJANITUMIA, NTAKUTAFUTA NIKIJA DAR TAPELI MKUBWA WEWE! JAMANI MSIHADAIKE, HUYU DR, KASSIM NI TAPELI WA KUTUPWA,,, KAENI CHONJO MSIJE LIWA KAMA MM, HANA DAWA HUYU, TAPELI TU.
 
UONGO MTUPU!!!!! WEWE KING KESSY TAPELI MKUBWA! UMEKULA PESA YANGU NA DAWA HUJANITUMIA, NTAKUTAFUTA NIKIJA DAR TAPELI MKUBWA WEWE! JAMANI MSIHADAIKE, HUYU DR, KASSIM NI TAPELI WA KUTUPWA,,, KAENI CHONJO MSIJE LIWA KAMA MM, HANA DAWA HUYU, TAPELI TU.
Cc @kingkessy
 
UONGO MTUPU!!!!! WEWE KING KESSY TAPELI MKUBWA! UMEKULA PESA YANGU NA DAWA HUJANITUMIA, NTAKUTAFUTA NIKIJA DAR TAPELI MKUBWA WEWE! JAMANI MSIHADAIKE, HUYU DR, KASSIM NI TAPELI WA KUTUPWA,,, KAENI CHONJO MSIJE LIWA KAMA MM, HANA DAWA HUYU, TAPELI TU.
Asante Mkuu!
 
Uume ni msuli kwahiyo kinachoongezeka ni kutanuka kwa mishipa ya msuli ambapo naturally hutanua nyama za nje na kuonekana Uume umeongezeka
Lakini kama una Uume mdogo sana (ulemavu)hii wala haisaidii kabisa
Maranyingi Uume mkubwa sio tija bali kinachotakiwa ni uume wenye nguvu na late ejeculation
Kwa wenye matatizo ya kawaida kuhusiana na hilo tumieni hivi vitu
Dengu na karanga maziwa fresh na chakula kizuri ,
Pia pata dozi hii daily unaweza kunywa mara mbili au moja
Nusu lita maji ya moto kipande cha ndimu kitunguu saumu na vijiko 3-5 vya asali halisi..
Changanya kunywa
Mkuu karanga unazozizungumzia ni mbichi au zilizokaangwa nimependa somo lako lina ukweli ndani yake
 
UONGO MTUPU!!!!! WEWE KING KESSY TAPELI MKUBWA! UMEKULA PESA YANGU NA DAWA HUJANITUMIA, NTAKUTAFUTA NIKIJA DAR TAPELI MKUBWA WEWE! JAMANI MSIHADAIKE, HUYU DR, KASSIM NI TAPELI WA KUTUPWA,,, KAENI CHONJO MSIJE LIWA KAMA MM, HANA DAWA HUYU, TAPELI TU.
Mkuu pole sana kumbe kasha kupiga? Ulikuwa na kibamia nini?
 
Njia pekee na ya haraka kuongeza libolo ni kutumia penis pump ambayo hapo hapo inakuwa kubwa na ikinywea inarudi km zamani na ina madhara dawa nyingi za kupaka zinaongeza msisimmko wa libolo na si kuifanya iongezeke ikumbukwe kuwa hiki kiungo libolo kina wakati wake wa kukua kuanzia unapozaliwa na kuna mahali inafikia mwisho kama ambavyo na viungo vingine kama mikono vidole so siyo rahisi kusema upake mafuta uongezeke au unywe dawa tena hii ni uongo mtakatifu kuna baadhi wamefanya upasuaji ukafanikiwa kuongeza urefu lakini ni hatari sana..zipo mbinu za kisaikolojia kukuletea zinaweza kukusaidia wewe unayedhani kuwa unayo ndogo na uache kuhangaika na kudangwanywa.
1. Acha kuangalia muvi za ngono wanadanganya kuwa kubwa ndo nzuri yale makelele ni full usanii na maigizo pia kuna ujanja wa kamera unatumika kuonyesha mabolo makubwa wakati ni ya kawaida
2.nyoa vuzi mara zote inatoa nafasi ya libolo kuonekana vizuri na kubwa
3. usijiangalie kwa juu kuona kama ni kubwa au ndogo jiangalie kwny kioo ukisimama
Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi kama ilivyo mwenye makalio makubwa hajazi choo....nani kakwambia ndogo? je humkojozi? nani kakwambia kuwa na libolo likubwa linalokojoa dakika tatu na kuwa na kibamia kinachokojoa dakika 15 yupi anafurahia?akili ni zako zakuambiwa changanya na zako na za kuazima...........
 
UONGO MTUPU!!!!! WEWE KING KESSY TAPELI MKUBWA! UMEKULA PESA YANGU NA DAWA HUJANITUMIA, NTAKUTAFUTA NIKIJA DAR TAPELI MKUBWA WEWE! JAMANI MSIHADAIKE, HUYU DR, KASSIM NI TAPELI WA KUTUPWA,,, KAENI CHONJO MSIJE LIWA KAMA MM, HANA DAWA HUYU, TAPELI TU.
wewe ndo mjinga, unaanzaje kumtumia pesa tapeli???? kakuliza kiasi gani???????[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
 
hakuna dawa za kuongeza uume au kunenepesha huo ni uongo na kama zipo karibia zote zina madhara ya muda mfupi au mrefu. Uume unaongezeka kutokana na vyakula tu. Watu wote wanaweka namba zao za simu ni wapigaji na matapeli na ni wa kuwapuuza.
Orodhesha hivyo vyakula mkuu
 
Fundi maiko anaenda kubomoa gearbox za watu[emoji2960][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom