Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc @kingkessyUONGO MTUPU!!!!! WEWE KING KESSY TAPELI MKUBWA! UMEKULA PESA YANGU NA DAWA HUJANITUMIA, NTAKUTAFUTA NIKIJA DAR TAPELI MKUBWA WEWE! JAMANI MSIHADAIKE, HUYU DR, KASSIM NI TAPELI WA KUTUPWA,,, KAENI CHONJO MSIJE LIWA KAMA MM, HANA DAWA HUYU, TAPELI TU.
Asante Mkuu!UONGO MTUPU!!!!! WEWE KING KESSY TAPELI MKUBWA! UMEKULA PESA YANGU NA DAWA HUJANITUMIA, NTAKUTAFUTA NIKIJA DAR TAPELI MKUBWA WEWE! JAMANI MSIHADAIKE, HUYU DR, KASSIM NI TAPELI WA KUTUPWA,,, KAENI CHONJO MSIJE LIWA KAMA MM, HANA DAWA HUYU, TAPELI TU.
Mkuu karanga unazozizungumzia ni mbichi au zilizokaangwa nimependa somo lako lina ukweli ndani yakeUume ni msuli kwahiyo kinachoongezeka ni kutanuka kwa mishipa ya msuli ambapo naturally hutanua nyama za nje na kuonekana Uume umeongezeka
Lakini kama una Uume mdogo sana (ulemavu)hii wala haisaidii kabisa
Maranyingi Uume mkubwa sio tija bali kinachotakiwa ni uume wenye nguvu na late ejeculation
Kwa wenye matatizo ya kawaida kuhusiana na hilo tumieni hivi vitu
Dengu na karanga maziwa fresh na chakula kizuri ,
Pia pata dozi hii daily unaweza kunywa mara mbili au moja
Nusu lita maji ya moto kipande cha ndimu kitunguu saumu na vijiko 3-5 vya asali halisi..
Changanya kunywa
Mkuu pole sana kumbe kasha kupiga? Ulikuwa na kibamia nini?UONGO MTUPU!!!!! WEWE KING KESSY TAPELI MKUBWA! UMEKULA PESA YANGU NA DAWA HUJANITUMIA, NTAKUTAFUTA NIKIJA DAR TAPELI MKUBWA WEWE! JAMANI MSIHADAIKE, HUYU DR, KASSIM NI TAPELI WA KUTUPWA,,, KAENI CHONJO MSIJE LIWA KAMA MM, HANA DAWA HUYU, TAPELI TU.
Mbichi kwa matokeo bora zaidiMkuu karanga unazozizungumzia ni mbichi au zilizokaangwa nimependa somo lako lina ukweli ndani yake
Mshana jr na hii nusu litamaji moto na ndimu ni kwamba unachanganya au vinakuwa tofauti?Mkuu karanga unazozizungumzia ni mbichi au zilizokaangwa nimependa somo lako lina ukweli ndani yake
wewe ndo mjinga, unaanzaje kumtumia pesa tapeli???? kakuliza kiasi gani???????[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]UONGO MTUPU!!!!! WEWE KING KESSY TAPELI MKUBWA! UMEKULA PESA YANGU NA DAWA HUJANITUMIA, NTAKUTAFUTA NIKIJA DAR TAPELI MKUBWA WEWE! JAMANI MSIHADAIKE, HUYU DR, KASSIM NI TAPELI WA KUTUPWA,,, KAENI CHONJO MSIJE LIWA KAMA MM, HANA DAWA HUYU, TAPELI TU.
Ahahaha na wewe umeongeza ujinga mkuu, badala ya kuanza kumshkuru kushtua watu, we umeanza kumlaumu.wewe ndo mjinga, unaanzaje kumtumia pesa tapeli???? kakuliza kiasi gani???????[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
😁Estrogen ni kichocheo cha ukuajia wa uume?
Orodhesha hivyo vyakula mkuuhakuna dawa za kuongeza uume au kunenepesha huo ni uongo na kama zipo karibia zote zina madhara ya muda mfupi au mrefu. Uume unaongezeka kutokana na vyakula tu. Watu wote wanaweka namba zao za simu ni wapigaji na matapeli na ni wa kuwapuuza.