Dawa ya kuogeshea mifugo

Dawa ya kuogeshea mifugo

wakaliwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2020
Posts
671
Reaction score
1,143
Nawasalimuni kwa jina la Mungu, naomba msaada kwa anaejua mahala naweza ipata dawa ya kuogeshea mifugo CYPERTOP E.C.
tafadhalini maana kwa Dar nimeitafuta haipatikani kabisa natanguliza shukrani kwenu nyote, mbarikiwe sana.
 
Nawasalimuni kwa jina la Mungu, naomba msaada kwa anaejua mahala naweza ipata dawa ya kuogeshea mifugo CYPERTOP E.C.
tafadhalini maana kwa Dar nimeitafuta haipatikani kabisa natanguliza shukrani kwenu nyote, mbarikiwe sana.
Samaahn unaweza kuniambia hii dawa ina sifa gani kwa mifugo
Nilichinja Ng’ombe wangu alikuwa anaumwa kupe wakasababisha Ndigana daktari aliniambia dawa unayotumia kuogesha Ng’ombe siyo nzuri
 
Samaahn unaweza kuniambia hii dawa ina sifa gani kwa mifugo
Nilichinja Ng’ombe wangu alikuwa anaumwa kupe wakasababisha Ndigana daktari aliniambia dawa unayotumia kuogesha Ng’ombe siyo nzuri
Ndungu kwakweli hii dawa hakuna mdudu anasimama hapo,kwakweli ni dawa inayo faa sana sasa sijui kwanini imepotea kabisa, wafugaji wengi sana tunaitafuta, mimi sasahivi nateswa na kupe kwenye Mbwa na Mbuzi vibaya sana, ila Mbuzi nimefanikiwa na TIK TIK.
Ukiweza ipata hiyo amahakika hutaona kupe kasimama mziama hapo.
 
Back
Top Bottom