wakaliwetu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2020
- 671
- 1,143
Nawasalimuni kwa jina la Mungu, naomba msaada kwa anaejua mahala naweza ipata dawa ya kuogeshea mifugo CYPERTOP E.C.
tafadhalini maana kwa Dar nimeitafuta haipatikani kabisa natanguliza shukrani kwenu nyote, mbarikiwe sana.
tafadhalini maana kwa Dar nimeitafuta haipatikani kabisa natanguliza shukrani kwenu nyote, mbarikiwe sana.