Gwaje
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 299
- 85
Mie ni kijana mwenye umri wa miaka 35 nimekuwa katika ndoa kwa miaka 6 sasa. Mwanzoni nilikuwa nauwezo mzuri wa kufanya tendo la ndoa , muda unavyosonga uwezo wangu umekuwa ukipungua na hivyo mke wangu hafurahii tena tendo hili. Hali hii imekuwa ikimfanya hata kutokuwa huru kufanya tendo hilo kwa hali yangu ya sasa na huniambia siwezi kumridhisha kama anavyopaswa kufanyiwa na mwanaume wa ukweli.
Sina kinyongo kwa hilo na ndio sababu naomba dawa itakayonifanya uume wangu usisimame tena ili nisifanye tendo hilo kabisa ili niishi kwa amani nayekwakuwa halidhiki awe huru kuridhishwa na mwingine na tutaendelea kulea watoto wetu.
Kwa unayejua dawa tafadhali nipm ili nipate msaada nimechoka kufikilia na kujieleza sana kuhusu kupeana tendo la ndoa wakati kuna mambo mengi ya muhimu kufanywa.
Sina kinyongo kwa hilo na ndio sababu naomba dawa itakayonifanya uume wangu usisimame tena ili nisifanye tendo hilo kabisa ili niishi kwa amani nayekwakuwa halidhiki awe huru kuridhishwa na mwingine na tutaendelea kulea watoto wetu.
Kwa unayejua dawa tafadhali nipm ili nipate msaada nimechoka kufikilia na kujieleza sana kuhusu kupeana tendo la ndoa wakati kuna mambo mengi ya muhimu kufanywa.