Dawa ya kuondoa rangi nyeusi kwenye ngozi baada ya fungus kupona

Dawa ya kuondoa rangi nyeusi kwenye ngozi baada ya fungus kupona

JOHNKEKE

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
1,310
Reaction score
1,466
Nilipata fungus ya sehemu ya tumbo usawa wa kitovu lakini kwa pembeni, kama miezi 6 iliyopita. Baada ya kutibu na kupona, na hiyo sehemu kukauka, pamebaki rangi nyeusi. Nafikiri ni kitu cha kawaida kwa wengi baada ya fungus au kidonda kupona.

Hata hivyo kinyume na mategemeo yangu kwamba sehemu hiyo ya ngozi ita undergo natural healing baada ya siku chache, tatizo ni kwamba hiyo alama nyeusi bado haijotoka hadi leo na sioni dalili ya hiyo rangi kutoka hivi karibuni.


Plz naomba msaada kwa yeyote mwenye kujua namna yeyote au dawa inayoweza ondoa hayo madoa meusi, anijuze tafadhali.
 
Kwa kawaida makovu ya tumboni hupotea taratibu sana hivyo kuwa mpole tu usijiingize kwenye cream ambazo zitakuletea madhara baadae!!!!!
 
kuna sabuni inatoa hayo kwa maelezo zaidi ntafute 0765650028
 
Mkuu weka hapa na sisi tuone hiyo dawa au njia ya kuondoa hiyo rangi na hakuna haja y kwenda private coz swali limeulizwa hapa
 
Back
Top Bottom