Dawa ya kuondoa udini yapatikana

Dawa ya kuondoa udini yapatikana

ONJO

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
216
Reaction score
265
Habari zenu wanajamii

Furaha yangu ni kupata majawabu ya kila swali.

Leo ninayo njia ya kuondoa udini serikalini.

Lipo neno linaitwa KWELI nalo ni mfano wa Biblia,na Quruan.Ila tofauti yake KWELI haitaji jina la mtume yeyote bali inafuata misingi,kanuni na sheria za nje.Hasa ikizingatia akili ya mtu mwenyewe,ili asiwe mtumwa katika jambo lolote.

Mfano wake angalieni thread niliyoandika.Tittle yake ni. ''Maisha na falsafa yake'' . Hapa utagundua kuwa KWELI hakuna wa kuipinga hata moja.Aliyepita,aliyepo wala atakae kuja.

Kama mungu atajalia proposal hii ifike serikalini.Basi serikali itakuwa na msahafu unaoitwa KWELI.Wakati huo wa kuapisha viongozi wetu watashika KWELI katika mkono wa kulia.

Kwa mfano Rais atatamka maneno haya.

''Mimi Samia S. Hasani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Naapa kwamba nitaamini katika KWELI,nitaishi katika KWELI,na nitaitetea KWELI.Nitakuwa tayari wakati wowote kuirekebisha na kuiboresha katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama KWELI itakavyoniongoza na kwa makubaliano ya watanzania wenzangu.Ee mwenyezi Mungu nisaidie''.

Hakuna njia zaidi ya hii ya kuiweka tanzania kuwa huru katika dini zake.

Na hapo tutakuwa na biblia,kweli na kuruani.Biblia zitabaki kwa wakristo,kweli itabaki serikalini na kuruani zitabaki kwa waislamu.

Kiongozi wa kweli atavutwa na KWELI kuliongoza taifa la tanzania maana kweli ina sifa ya kumwinua mtu wala hataletwa na dini bali na kweli isiyo na ubaguzi.

kwahiyo wanajamii ningependa kushauri. tuitafute hiyo kweli,ili iwe msahafu wa serikali
tujaze ufahamu na maarifa ndani yake.ili siku moja yeyote kati yetu akiwa kiongozi awasilishe wazo hili kwa viongozi wenzake.na wazo hili likipita ndilo litakaloondoa udini ndani ya serikali yetu.

Mimi nimewapeni utangulizi kupitia thread ya MAISHA NA FALSAFA YAKE kiasi kwamba tukiongezea vitu pale itafaa kutumika na hata ikisomwa na mtu yeyote asionekane wa kukosoa.Na hii itakuwa ya milele kwetu.

Nawasilisha.


Na ONJO mpenzi wenu.
 
Dunia ina maadui wengi lakin dini ni adui mkubwa sana kwa sabab nguzo yake si KWELI bali ni AMINI
Kuamini kunaleta usinyaa wa kufikiri na kutenda. Ni aina mbaya kabsa ya utegemezi.

Wenzetu waliojitoa katika kuamin abstract ndo wameweza kuyamudu mazingira yao maana KWELI huleta Patent results.

Kitu pekee unahitaji kuamini ni kuiamini kweli na si kuamini uwepo kisichokuwepo.
 
Dunia ina maadui wengi lakin dini ni adui mkubwa sana kwa sabab nguzo yake si KWELI bali ni AMINI
Kuamini kunaleta usinyaa wa kufikiri na kutenda. Ni aina mbaya kabsa ya utegemezi.

Wenzetu waliojitoa katika kuamin abstract ndo wameweza kuyamudu mazingira yao maana KWELI huleta Patent results.

Kitu pekee unahitaji kuamini ni kuiamini kweli na si kuamini uwepo usiokuwepo.
Daah hakika mkuu nimekusoma
 
Habari zenu wanajamii

Furaha yangu ni kupata majawabu ya kila swali.

Leo ninayo njia ya kuondoa udini serikalini.

Lipo neno linaitwa KWELI nalo ni mfano wa Biblia,na Quruan.Ila tofauti yake KWELI haitaji jina la mtume yeyote bali inafuata misingi,kanuni na sheria za nje.Hasa ikizingatia akili ya mtu mwenyewe,ili asiwe mtumwa katika jambo lolote.

Mfano wake angalieni thread niliyoandika.Tittle yake ni. ''Maisha na falsafa yake'' . Hapa utagundua kuwa KWELI hakuna wa kuipinga hata moja.Aliyepita,aliyepo wala atakae kuja.

Kama mungu atajalia proposal hii ifike serikalini.Basi serikali itakuwa na msahafu unaoitwa KWELI.Wakati huo wa kuapisha viongozi wetu watashika KWELI katika mkono wa kulia.

Kwa mfano Rais atatamka maneno haya.

''Mimi Samia S. Hasani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Naapa kwamba nitaamini katika KWELI,nitaishi katika KWELI,na nitaitetea KWELI.Nitakuwa tayari wakati wowote kuirekebisha na kuiboresha katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama KWELI itakavyoniongoza na kwa makubaliano ya watanzania wenzangu.Ee mwenyezi Mungu nisaidie''.

Hakuna njia zaidi ya hii ya kuiweka tanzania kuwa huru katika dini zake.

Na hapo tutakuwa na biblia,kweli na kuruani.Biblia zitabaki kwa wakristo,kweli itabaki serikalini na kuruani zitabaki kwa waislamu.

Kiongozi wa kweli atavutwa na KWELI kuliongoza taifa la tanzania maana kweli ina sifa ya kumwinua mtu wala hataletwa na dini bali na kweli isiyo na ubaguzi.

kwahiyo wanajamii ningependa kushauri. tuitafute hiyo kweli,ili iwe msahafu wa serikali
tujaze ufahamu na maarifa ndani yake.ili siku moja yeyote kati yetu akiwa kiongozi awasilishe wazo hili kwa viongozi wenzake.na wazo hili likipita ndilo litakaloondoa udini ndani ya serikali yetu.

Mimi nimewapeni utangulizi kupitia thread ya MAISHA NA FALSAFA YAKE kiasi kwamba tukiongezea vitu pale itafaa kutumika na hata ikisomwa na mtu yeyote asionekane wa kukosoa.Na hii itakuwa ya milele kwetu.

Nawasilisha.


Na ONJO mpenzi wenu.
Viongozi huwa wanaandaliwa,iyo ya kuapa ni stage ya mwisho kabisa.Dunia ya kwanza uko,mtu anafuatiliwa tangu yupo shule lakini vilevile ata katika ngazi ya familia watoto wanalelewa katika misingi mizuri.
Sasa ukimuapisha kibaka mtanashati alaiye jificha kwenye suti itasaidia nini!
Tanzania watu wanaibukaibuka ovyo wanapewa uongozi,hii Dunia ya wenzetu huko hii hamna.
 
Kwani kabla ya Ukristo na Uislamu si tulikuwa tuna viongozi.

Akina Chief Mangungo, Kinjikitile Ngwale, Mangi Melli, Chief Mkwawa na wale akina Mansa Mussa kule Afrika ya Magharibi.

Hao wote walikuwa wanaapaje wakati wanashika madaraka?
 
Habari zenu wanajamii

Furaha yangu ni kupata majawabu ya kila swali.

Leo ninayo njia ya kuondoa udini serikalini.

Lipo neno linaitwa KWELI nalo ni mfano wa Biblia,na Quruan.Ila tofauti yake KWELI haitaji jina la mtume yeyote bali inafuata misingi,kanuni na sheria za nje.Hasa ikizingatia akili ya mtu mwenyewe,ili asiwe mtumwa katika jambo lolote.

Mfano wake angalieni thread niliyoandika.Tittle yake ni. ''Maisha na falsafa yake'' . Hapa utagundua kuwa KWELI hakuna wa kuipinga hata moja.Aliyepita,aliyepo wala atakae kuja.

Kama mungu atajalia proposal hii ifike serikalini.Basi serikali itakuwa na msahafu unaoitwa KWELI.Wakati huo wa kuapisha viongozi wetu watashika KWELI katika mkono wa kulia.

Kwa mfano Rais atatamka maneno haya.

''Mimi Samia S. Hasani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Naapa kwamba nitaamini katika KWELI,nitaishi katika KWELI,na nitaitetea KWELI.Nitakuwa tayari wakati wowote kuirekebisha na kuiboresha katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama KWELI itakavyoniongoza na kwa makubaliano ya watanzania wenzangu.Ee mwenyezi Mungu nisaidie''.

Hakuna njia zaidi ya hii ya kuiweka tanzania kuwa huru katika dini zake.

Na hapo tutakuwa na biblia,kweli na kuruani.Biblia zitabaki kwa wakristo,kweli itabaki serikalini na kuruani zitabaki kwa waislamu.

Kiongozi wa kweli atavutwa na KWELI kuliongoza taifa la tanzania maana kweli ina sifa ya kumwinua mtu wala hataletwa na dini bali na kweli isiyo na ubaguzi.

kwahiyo wanajamii ningependa kushauri. tuitafute hiyo kweli,ili iwe msahafu wa serikali
tujaze ufahamu na maarifa ndani yake.ili siku moja yeyote kati yetu akiwa kiongozi awasilishe wazo hili kwa viongozi wenzake.na wazo hili likipita ndilo litakaloondoa udini ndani ya serikali yetu.

Mimi nimewapeni utangulizi kupitia thread ya MAISHA NA FALSAFA YAKE kiasi kwamba tukiongezea vitu pale itafaa kutumika na hata ikisomwa na mtu yeyote asionekane wa kukosoa.Na hii itakuwa ya milele kwetu.

Nawasilisha.


Na ONJO mpenzi wenu.
Ivi vile vitabu vya dini wanavyotumia kuapa ni vya kweli ? maana si Kwa ushenzi huu unao fanyika Serikaln
 
Good watamkamata kwenye kuapa ila anaweza kuingiza dini yeyote ili akiingia anafanya mapinduzi.
Ataapa kwa Mungu wa mizimu ya kwao,akiwa ameshika mkononi usinga ngozi ya chui na mkuki ,kama wao wanavyoshika vitabu vya Wazungu na Waarabu
 
Kwani kabla ya Ukristo na Uislamu si tulikuwa tuna viongozi.

Akina Chief Mangungo, Kinjikitile Ngwale, Mangi Melli, Chief Mkwawa na wale akina Mansa Mussa kule Afrika ya Magharibi.

Hao wote walikuwa wanaapaje wakati wanashika madaraka?
Mansa Mussa alikuwa muislamu.Fanya utafiti wacha ku generalize.
 
Good watamkamata kwenye kuapa ila anaweza kuingiza dini yeyote ili akiingia anafanya mapinduzi.
Anawesq kuapa kwa kutumia katiba. Inaruhusiwa sababu ndicho kitu anakiamini zaidi ya vyote.
 
Habari zenu wanajamii

Furaha yangu ni kupata majawabu ya kila swali.

Leo ninayo njia ya kuondoa udini serikalini.

Lipo neno linaitwa KWELI nalo ni mfano wa Biblia,na Quruan.Ila tofauti yake KWELI haitaji jina la mtume yeyote bali inafuata misingi,kanuni na sheria za nje.Hasa ikizingatia akili ya mtu mwenyewe,ili asiwe mtumwa katika jambo lolote.

Mfano wake angalieni thread niliyoandika.Tittle yake ni. ''Maisha na falsafa yake'' . Hapa utagundua kuwa KWELI hakuna wa kuipinga hata moja.Aliyepita,aliyepo wala atakae kuja.

Kama mungu atajalia proposal hii ifike serikalini.Basi serikali itakuwa na msahafu unaoitwa KWELI.Wakati huo wa kuapisha viongozi wetu watashika KWELI katika mkono wa kulia.

Kwa mfano Rais atatamka maneno haya.

''Mimi Samia S. Hasani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Naapa kwamba nitaamini katika KWELI,nitaishi katika KWELI,na nitaitetea KWELI.Nitakuwa tayari wakati wowote kuirekebisha na kuiboresha katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama KWELI itakavyoniongoza na kwa makubaliano ya watanzania wenzangu.Ee mwenyezi Mungu nisaidie''.

Hakuna njia zaidi ya hii ya kuiweka tanzania kuwa huru katika dini zake.

Na hapo tutakuwa na biblia,kweli na kuruani.Biblia zitabaki kwa wakristo,kweli itabaki serikalini na kuruani zitabaki kwa waislamu.

Kiongozi wa kweli atavutwa na KWELI kuliongoza taifa la tanzania maana kweli ina sifa ya kumwinua mtu wala hataletwa na dini bali na kweli isiyo na ubaguzi.

kwahiyo wanajamii ningependa kushauri. tuitafute hiyo kweli,ili iwe msahafu wa serikali
tujaze ufahamu na maarifa ndani yake.ili siku moja yeyote kati yetu akiwa kiongozi awasilishe wazo hili kwa viongozi wenzake.na wazo hili likipita ndilo litakaloondoa udini ndani ya serikali yetu.

Mimi nimewapeni utangulizi kupitia thread ya MAISHA NA FALSAFA YAKE kiasi kwamba tukiongezea vitu pale itafaa kutumika na hata ikisomwa na mtu yeyote asionekane wa kukosoa.Na hii itakuwa ya milele kwetu.

Nawasilisha.


Na ONJO mpenzi wenu.
Umesema "kama Mungu atajalia..."

Kama kweli unataka kweli, huyo Mungu mwenyewe unaweza kuthibitisha yupo kweli na si character wa hadithi za watu tu?
 
Mifumo ishatengenezwa kiasi kwamba Kuna Watu hao hao kwenye hizo Dini Wametendea Taifa Mambo Makubwa.. Na Wanalidai Taifa Hilo hilo na Wanaalikwaga hadi Ikulu..

Sasa Sijui wewe Unamaanisha Nini Unaposema KWELI?
 
Habari zenu wanajamii

Furaha yangu ni kupata majawabu ya kila swali.

Leo ninayo njia ya kuondoa udini serikalini.

Lipo neno linaitwa KWELI nalo ni mfano wa Biblia,na Quruan.Ila tofauti yake KWELI haitaji jina la mtume yeyote bali inafuata misingi,kanuni na sheria za nje.Hasa ikizingatia akili ya mtu mwenyewe,ili asiwe mtumwa katika jambo lolote.

Mfano wake angalieni thread niliyoandika.Tittle yake ni. ''Maisha na falsafa yake'' . Hapa utagundua kuwa KWELI hakuna wa kuipinga hata moja.Aliyepita,aliyepo wala atakae kuja.

Kama mungu atajalia proposal hii ifike serikalini.Basi serikali itakuwa na msahafu unaoitwa KWELI.Wakati huo wa kuapisha viongozi wetu watashika KWELI katika mkono wa kulia.

Kwa mfano Rais atatamka maneno haya.

''Mimi Samia S. Hasani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.Naapa kwamba nitaamini katika KWELI,nitaishi katika KWELI,na nitaitetea KWELI.Nitakuwa tayari wakati wowote kuirekebisha na kuiboresha katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kama KWELI itakavyoniongoza na kwa makubaliano ya watanzania wenzangu.Ee mwenyezi Mungu nisaidie''.

Hakuna njia zaidi ya hii ya kuiweka tanzania kuwa huru katika dini zake.

Na hapo tutakuwa na biblia,kweli na kuruani.Biblia zitabaki kwa wakristo,kweli itabaki serikalini na kuruani zitabaki kwa waislamu.

Kiongozi wa kweli atavutwa na KWELI kuliongoza taifa la tanzania maana kweli ina sifa ya kumwinua mtu wala hataletwa na dini bali na kweli isiyo na ubaguzi.

kwahiyo wanajamii ningependa kushauri. tuitafute hiyo kweli,ili iwe msahafu wa serikali
tujaze ufahamu na maarifa ndani yake.ili siku moja yeyote kati yetu akiwa kiongozi awasilishe wazo hili kwa viongozi wenzake.na wazo hili likipita ndilo litakaloondoa udini ndani ya serikali yetu.

Mimi nimewapeni utangulizi kupitia thread ya MAISHA NA FALSAFA YAKE kiasi kwamba tukiongezea vitu pale itafaa kutumika na hata ikisomwa na mtu yeyote asionekane wa kukosoa.Na hii itakuwa ya milele kwetu.

Nawasilisha.


Na ONJO mpenzi wenu.
Big up batiii;

Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.
Mithali 23:23

Hekima na mafundisho na ufahamu ndio KWELI.

Yohana: 17;3 uwatakase kwa ile kweli, NENO lako ndio kweli.


KUMBE Neno ndo hiyo kweli ambayo inampa mtu HEKIMA, MAARIFA na UFAHAMU.

sasa mkuu tukiweka biblia/ Quruan kando hiyo kweli itatoka wapi.
 
Back
Top Bottom