Dawa ya kuondoa wekundu kwenye macho,nisije nikauwawa nikitembelea ule mkoa

Dawa ya kuondoa wekundu kwenye macho,nisije nikauwawa nikitembelea ule mkoa

harakat

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
2,887
Reaction score
1,351
Jamani wana jamvi naomba msaada wa dawa ya kuondoa rangi nyekundu ya macho maana kuna mkoa mmoja
amabao ukitembelea na macho mekundu unauwawa kama mchawi sasa naomba kama kuna mtaalam anayejua dawa
ya kuondoa wekundu huu.
 
Jamani wana jamvi naomba msaada wa dawa ya kuondoa rangi nyekundu ya macho maana kuna mkoa mmoja
amabao ukitembelea na macho mekundu unauwawa kama mchawi sasa naomba kama kuna mtaalam anayejua dawa
ya kuondoa wekundu huu.
TIBA: Weka macho yawe safi na uyakoshe kwa maji ya waridi kila wakati. Epusha macho kutokana na joto, baridi, moshi, vumbi, macho yasitumie nguvu sana kama vile kusoma sana. Tumia dawa za kulainisha choo ikiwa hupati choo vizuri kwa sababu pia huchangia katika maumivu ya kichwa na macho.awe pia anakula karoti.
 
Back
Top Bottom