Dawa ya kuongeza apetite

Bondemania

Senior Member
Joined
Jan 12, 2012
Posts
103
Reaction score
39
Tafadhalini naomba kwa anayejua dawa ya kuongeza anijuze,iwe ni hebal or clinical kwangu sawa,please kama huna la kuchangia naomba upite tu kuliko kuweka utani na vitu kama hivyo,hii ni serious ishu wakuu
 
Vitamin B complex, lakini vyakula vyenye uchachu kama ndim, pili pili waweza tumia
 
tafuta appetine, lakini tahadhari usirudi kutuuliza dawa ya kupunguza unene.
 
Tafadhalini naomba kwa anayejua dawa ya kuongeza anijuze,iwe ni hebal or clinical kwangu sawa,please kama huna la kuchangia naomba upite tu kuliko kuweka utani na vitu kama hivyo,hii ni serious ishu wakuu
Sasa Bondemania unataka dawa ya apetite ya kitu gani hasa,fafanua ili uweze kusaidiwa!
 
Last edited by a moderator:
Jaribu sumu ya panya. We unaandika vitu nusu nusu halafu unasema upo serious sasa tukupe msaada gani kiushauri?
 
Phamactin(cyproheptadine) utatumia kulingana na umri wako,ukienda pharmacy utaipata.
 
Cyproheptadine 4mg iko poa ila tafadhali pima choo na upate kwanza tiba sahihi ya minyoo then tuangalie huu upande wa pili
 
Dawa ya hamu ya kula chakula mkuu,example ugali etc
 
Tafadhalini naomba kwa anayejua dawa ya kuongeza anijuze,iwe ni hebal or clinical kwangu sawa,please kama huna la kuchangia naomba upite tu kuliko kuweka utani na vitu kama hivyo,hii ni serious ishu wakuu

Hapa issue yako inahitaji uchunguzi kwanza inawezekana una tatizo la indigestion au una minyoo hivyo pia ni vyema kupima minyoo sasa kwa haraka ushauri wangu tumia Mebendazole tabs 500mg kutwa mara moja kwa muda wa siku 3 uangalie hali itakavyokuwa kama mambo bado tumia Tabs Cyproheptadine 4mg kutwa mara moja kwa muda wa siku 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…