Bondemania
Senior Member
- Jan 12, 2012
- 103
- 39
Tafadhalini naomba kwa anayejua dawa ya kuongeza anijuze,iwe ni hebal or clinical kwangu sawa,please kama huna la kuchangia naomba upite tu kuliko kuweka utani na vitu kama hivyo,hii ni serious ishu wakuu