Dawa ya kuongeza nguvu za kike

Chumvini unafika? Au ushamuuliza kama ashawahi kufika kileleni kabla yako? au anasikia tuu na yeye anataka afike huko kunako kilele.!!!
 
Janga la taifa mkuu tuko wengi sio huyo tu ukipata dawa niPM

Najua wasichana wengi tu wana hili tatizo. Na nafikiri ukija na product hii utapata pesa nyingi
 
Ana low libido

Nafikiri mtu mwenye low libido anakua hasikii hamu ya kushiriki tendo. Yaani hana genye. Tofauti ni kwamba huyu anasikia hamu na kupsta genye. Na anasikia raha wakati wa tendo kakini hafiki kilele.
 

Mimi siyo mtaalam wa haya masuala ila nadhani jiangalie upya ktk suala zima la kumwandaa mwenzi wako kwa muda wa kutosha zaidi. Najua unamwandaa ila ongeza mbinu za maandalizi mpaka awe analainika kabisa.
 
Mimi siyo mtaalam wa haya masuala ila nadhani jiangalie upya ktk suala zima la kumwandaa mwenzi wako kwa muda wa kutosha zaidi. Najua unamwandaa ila ongeza mbinu za maandalizi mpaka awe analainika kabisa.

Ashakwambia kaenda course ya kumuandaa mwanamke akimaanisha kua anajua kuandaa haswaaaaa hapa kinachojika ni dawa tu

No more advices
 
Ashakwambia kaenda course ya kumuandaa mwanamke akimaanisha kua anajua kuandaa haswaaaaa hapa kinachojika ni dawa tu

No more advices

Ahaa kama ni dawa ajaribu kwanza hospitalini hasa kwa madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake nadhani watakua wanaijua dawa. Ikishindikana hapo aende kwa kina kalumanzila wa kuaminika huenda akapata msaada zaidi.
Asante.
 
Ahaa kama ni dawa ajaribu kwanza hospitalini hasa kwa madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake nadhani watakua wanaijua dawa. Ikishindikana hapo aende kwa kina kalumanzila wa kuaminika huenda akapata msaada zaidi.
Asante.
pamoja mkuu hili ni janga si kidogo
Ahsante
 
wewe mwenyewe una uhakika unamfikisha au unatwanga mahindi kutandani tu.....
 
Dawa yake ndogo sana ila inahitaji muda kdogo,mpige mimba akishazaa uje utupe majibu
 
Mchaga kufika kileleni ni vigumu maana wao huwa wanafikiria pesa utakayompa na si mapenzi unayompa. kazi unayo jitahidi kumpa pesa nyingi atafika tu kileleni wala usihangaike kutafuta dawa tafuta hela hapo utamfikisha mpaka alie

Mnaosema anawaza pesa mnauwakika kila mchaga anashida na hela au??? Cku iz kila mtu anapenda pesa ht we mnyaru ukiangushiwa ela hapo utaziludisha??,,,,,,,, mi n mchaga na ninajivunia na kileleni nafika na nikiienjoy labda awe na shida za kiafya c pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…