dawa ya kuongeza nguvu za kiume

dawa ya kuongeza nguvu za kiume

big IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
491
Reaction score
892
Nna rafiki yangu mmoja kipenzi sana na siku zote alikuwa mcheshi na mwenye furaha sana,lakini mambo yalibadilika sana baada ya kupata ajali na kuumia sehemu za kiuno,amekuwa anakunywa sana na kuonekana amekata tamaa,baada ya kumsisitiza sana aniambie kwanini amebadilika ndo akaniupa siri kwamba ile ajali ilimpotezea nguvu za kiume na kwa mda wote huo amekuwa akitafuta dawa bila mafanikio,amekua akiangukia kwenye mikono ya matapeli na mke anatishia kuondoka kwa kukosa haki yake ya ndoa,so kama kuna mtu anajua dawa ya uhakika naomba anijulishe ili kuokoa hii ndoa inayoelekea kuvunjika..asanteni sana.
 
hahahhaha kweli kumbe wanawake wanapenda dushelele hahaha
 
Nna rafiki yangu mmoja kipenzi sana na siku zote alikuwa mcheshi na mwenye furaha sana,lakini mambo yalibadilika sana baada ya kupata ajali na kuumia sehemu za kiuno,amekuwa anakunywa sana na kuonekana amekata tamaa,baada ya kumsisitiza sana aniambie kwanini amebadilika ndo akaniupa siri kwamba ile ajali ilimpotezea nguvu za kiume na kwa mda wote huo amekuwa akitafuta dawa bila mafanikio,amekua akiangukia kwenye mikono ya matapeli na mke anatishia kuondoka kwa kukosa haki yake ya ndoa,so kama kuna mtu anajua dawa ya uhakika naomba anijulishe ili kuokoa hii ndoa inayoelekea kuvunjika..asanteni sana.

Marijuana
 
Akienda kwa Wachina au Wamasai anaweza patiwa ufumbuzi. By the way dushelele yake haiamki au haina nguvu???


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Akienda kwa Wachina au Wamasai anaweza patiwa ufumbuzi. By the way dushelele yake haiamki au haina nguvu???


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk

Kutokuamka ndio kukosa nguvu kwenyewe...
 
mwambie aende kwa madaktari wa uzazi watamsaidia au anywe erecto 50
 
hahahhaha kweli kumbe wanawake wanapenda dushelele hahaha
Mkuu mzabzab Mwaname ni Uume wake Kuwa na Nguvu za kiume ndio unaheshimika ndani ya ndoa ukikosa kuwa na Nguvu za kiume

huna heshima ndani ya ndoa yako Mke atakukimbia aende kwa mwanamme Mwengine kama unatumia kupiga Punyeto

mkuu acha kabisa kwani ukitumia kupiga Punyeto baada ya muda fulani uume wako utasinyaana na kukosa nguvu zakiume

na utahangaika kutafuta dawa za nguvu za kiume mkuu tafadhali sana usipige punyeto.
pole sana mkuu. Mungu atakusaidia. wasiliana na MziziMkavu. mia
Mkuu figganigga swadakta kwamtu mwenye kutaka Dawa za nguvu za kiume awasiliane na mimi kwa njia ya email yangu ni hii hapa fewgoodman@hotmail.com
 
Last edited by a moderator:
...........
Mkuu figganigga swadakta kwamtu mwenye kutaka Dawa za nguvu za kiume awasiliane na mimi kwa njia ya email yangu ni hii hapa fewgoodman@hotmail.com[/QUOTE]........Mzizi ungwamwagia watu hapa au kuna malipo?
 
Mkuu mzabzab Mwaname ni Uume wake Kuwa na Nguvu za kiume ndio unaheshimika ndani ya ndoa ukikosa kuwa na Nguvu za kiume

huna heshima ndani ya ndoa yako Mke atakukimbia aende kwa mwanamme Mwengine kama unatumia kupiga Punyeto

mkuu acha kabisa kwani ukitumia kupiga Punyeto baada ya muda fulani uume wako utasinyaana na kukosa nguvu zakiume

na utahangaika kutafuta dawa za nguvu za kiume mkuu tafadhali sana usipige punyeto.
Mkuu figganigga swadakta kwamtu mwenye kutaka Dawa za nguvu za kiume awasiliane na mimi kwa njia ya email yangu ni hii hapa fewgoodman@hotmail.com

My personal tutor alinambia "kutetemeka" kunaongeza ukubwa wa dushelele.. So sioni kua ina madhara


Sent from my Nokia 8310 using Tapatalk
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mzabzab Mwaname ni Uume wake Kuwa na Nguvu za kiume ndio unaheshimika ndani ya ndoa ukikosa kuwa na Nguvu za kiume

huna heshima ndani ya ndoa yako Mke atakukimbia aende kwa mwanamme Mwengine kama unatumia kupiga Punyeto

mkuu acha kabisa kwani ukitumia kupiga Punyeto baada ya muda fulani uume wako utasinyaana na kukosa nguvu zakiume

na utahangaika kutafuta dawa za nguvu za kiume mkuu tafadhali sana usipige punyeto.
Mkuu figganigga swadakta kwamtu mwenye kutaka Dawa za nguvu za kiume awasiliane na mimi kwa njia ya email yangu ni hii hapa fewgoodman@hotmail.com

ila nyeto tamu bwana...utamu wajipimia mwenyewe...plus huna kuogopa mambo ya hiv wala mimba ya kutegeshewa
 
Napenda kuwapa ufahamu wa namna ya kupambana na tatizo hilo. Watu wengi wana tatizo na wanakuwa hawapati njia sahihi ya kupambana na tatizo. Hii hapa ndiyo njia sahii. Fuatilia maelezo haya kwa umakini. Yote haya ni muhimu kuondoa kabisa tatizo.

MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;


  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum

Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;


  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid

Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ****** na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.


  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).

Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM


  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo


WASIOPASWA KUTUMIA


  • Wajawazito
  • Wanaonyonyesha
  • Wagonjwa waliodhoofika sana mfano ukimwi, saratani, kifua kikuu, malaria, kisukari n.k
  • Watoto chini ya miaka 14




REVIVE

Bidhaa hii imetengenezwa na mimea aina mbili ambayo ni Epim-edium na Gin-sen. Bidhaa hii inawasaidia sana wanaume kuamsha hisia za mapenzi na kudumisha msisimko.

KAZI YA REVIVE


  • Kuongeza libido(ashiki au nyege)
  • Kutibu impotence(mahanisi)
  • Kuongeza muda wa uhai wa mbegu za kiume zinapotoka nje, zinatakiwa ziishi katiak joto 37’’C.
  • Kuweka mwili katika hali ya hisia ya kawaida
  • Kutibu maumivu ya kiuno
  • Kuchelewa kumwaga mapema(kufika kileleni)
  • Kutibu kutanuka kwa kibofu cha mkojo na kuzuia uwezekano wa kupata saratani ya kibofu cha mkojo.
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Pia inasaidia kwa wenye pressure ya kushuka
  • Kuboresha utendaji wa tendo la ndoa


CA + FE + ZI PLUS


  • CA – Madini ya Chokaa
  • FE – Madini ya Chuma
  • ZI – Madini ya Zinki

FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA


  • 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
  • Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
  • Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
  • Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
  • Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha

FAIDA ZA MADINI CHUMA


  • Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
  • Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
  • Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
  • Huongeza nguvu mwilini

FAIDA ZA MADINI YA ZINKI


  • Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
  • Inaimarisha milango ya fahamu
  • Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
  • Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
  • Inaondoa matatizo ya macho.


Yeyote mwenye swali/anayetaka ushauri anaweza kunipigia kwa namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama za CA+FE+ZI Plus ni 51000/- Magilim ni 62500/- na REVIVE ni 60500/-
 

Attachments

  • MAGILIM.jpg
    MAGILIM.jpg
    15.2 KB · Views: 228
  • REVIVE.jpg
    REVIVE.jpg
    13.9 KB · Views: 229
  • CA+FE+ZI Plus.jpg
    CA+FE+ZI Plus.jpg
    16.2 KB · Views: 173
...........
Mkuu figganigga swadakta kwamtu mwenye kutaka Dawa za nguvu za kiume awasiliane na mimi kwa njia ya email yangu ni hii hapa fewgoodman@hotmail.com
........Mzizi ungwamwagia watu hapa au kuna malipo?[/QUOTE]Mkuu Amavubi



Haya Tena kwa wale wanaotaka Dawa ya nguvu za kiume wawasiliane na mimi kwa njia yaEmail inauzwa Dola 300. Dawa ni ya mitishamba lakini imetengenezwa kwa njia ya kisasa Capsule unatumia kila siku kidonge kimoja Asubuhi na kidonge kimoja usiku


baada ya kula chakula kwa muda wa miezi 3 Vidonge vipo 180baada ya hapo hutotumia tena Nguvu tena moja kwaa moja waweza kwenda mara tano kwa siku bila ya matatizo Mwenye kutaka awasiliane na mimi email yangu ni hapa

penis1.jpg


penis2.jpg



Imported from USA 100% Herbal V-pills

V-Pills, derived from nature, the development of the penis texture, which helps stimulate sexual activity, more lasting erection, and to help raise the enjoyment of sexual intercourse, intense aphrodisiac contains plant extracts that contain.

V-Pills content with plant extracts, and calms the nervous system up stress and tension that may occur prior to sexual intercourse also helps yenmenize.

V-Pills safe and effective reinforcement of masculinity in many herbal substances that are known to have been formulated.

V-Pills general blood pressure without altering the channels to the blood stream and affects the cells of the penis. This hardening penis and helps erection to occur. 3 boxes are used regularly for a long time effect. Documents section of the 5th You can see in the American FDA approval as a Vpills document.

V-pills safe and effective reinforcement of masculinity in many herbal substances that are known to Eyefive Inc. Formulated by.

Vpills from the pattern of use in order to give full stomach in the morning and evening after meals is recommended to have one each.
Vpills how much to use?

Vpills 1 box contains 60 capsules on a regular basis and to demonstrate the effect should be consumed within 1 month. For optimal results, use at least 3 months up to Vpills (3 boxes) for ongoing testing is recommended.
"100% Original Product Warranty"

V-pills Contents Utengenezaji wake hapa chini


Vitamin E (as d-Alpha Tocopheryl Succinate), Vitamin B3 (as Niacin),
Hawthorn (as Crataegus pinnatifida) (fruit), Saw Palmetto (as Serenoa repens) (fruit), Ginkgo (as Ginkgo biloba) (leaf), Chinese Ginseng (as Panax Ginseng) (root), Damiana (as Turnera diffusa) (leaf ), Demirdikeni (Tribulus terrestris-Tribulus Terrestris) (fruit), Oat Straw (Avena Sativa Oat-Straw) (grip), Thomas Horny Weed (Epimedium sagittatum Horny Goat-), Cayenne Fruit (as Capsicum species) (fruit)
The content and information about the effects of V-Pills>>>


PLEASE NOTE!
V-Pills have been formulated as a food supplement and herbal medicine is not included in the class is not subject to medical prescription. Although 100% herbal ingredients with the active ingredients of a strong heart, diabetes and high blood pressure patients are advised to consult a specialist content. In addition, hormone therapy, or hormonal disease in persons who are encouraged to use the control of a specialist.Ukihitaji hii Dawa ya Kuongeza na Kurudisha Nguvu za Kiume wasiliana na mimi kwa njia ya Barua ya pepe nitumie email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com

 

Attachments

  • v-pills-penis-buyutucu-ve-cinsel-performans-arttirici.jpg
    v-pills-penis-buyutucu-ve-cinsel-performans-arttirici.jpg
    82.8 KB · Views: 175
Last edited by a moderator:
Utapeli huu niliushtukia zamani sana. Sasa hivi hamnipati ng'ooooooo. Bora niendelee kula vyakula vya asili kwa mlo kamili na kufanya mazoezi.
 
jamani vyakula vya asili vilivyopikwa kwa kufuata utaratibu bora wa mapishi na mazoezi ni dawa tosha kabisa ya nguvu za kiume
 
Hivi na ukimwi huu bado watu wanatafuta kupiga bao 5 kwa siku? Mtaanza kukimbiwa na wanawake, nani anataka kutembea kwa kuchechemea? Akhhuuu!
 
Back
Top Bottom