dawa ya kuongeza nguvu za kiume

dawa ya kuongeza nguvu za kiume

Nna rafiki yangu mmoja kipenzi sana na siku zote alikuwa mcheshi na mwenye furaha sana,lakini mambo yalibadilika sana baada ya kupata ajali na kuumia sehemu za kiuno,amekuwa anakunywa sana na kuonekana amekata tamaa,baada ya kumsisitiza sana aniambie kwanini amebadilika ndo akaniupa siri kwamba ile ajali ilimpotezea nguvu za kiume na kwa mda wote huo amekuwa akitafuta dawa bila mafanikio,amekua akiangukia kwenye mikono ya matapeli na mke anatishia kuondoka kwa kukosa haki yake ya ndoa,so kama kuna mtu anajua dawa ya uhakika naomba anijulishe ili kuokoa hii ndoa inayoelekea kuvunjika..asanteni sana.

Yesu anayo dawa..lakini inahitaji imani kubwa...sio rahisi kama kwenda kwa mganga..ajipime achague
 
Utapeli huu niliushtukia zamani sana. Sasa hivi hamnipati ng'ooooooo. Bora niendelee kula vyakula vya asili kwa mlo kamili na kufanya mazoezi.
Mkuu NdasheneMbandu vyakula vya asili vinamsaidia Mtu aliye pungukiwa na Nguvu za kiume sio kwa sababu ya Kupiga Punyeto , ukipiga Punyeto hata ule chakula gani cha asili Nguvu za kiume hazitowezza kurudi kamwe Dawa yake itabidi utumie Dawa za asili za mitishamba kurudisha nguvu zako mkuu.

jamani vyakula vya asili vilivyopikwa kwa kufuata utaratibu bora wa mapishi na mazoezi ni dawa tosha kabisa ya nguvu za kiume
Bibie Mwanaweja Ingelikuwani Rahisi kurudisha nguvu zako za kiume kwa ajili ya kula vyakula vya asili basi nina imani watu wote wanauliza Dawa za Kuongeza Nguvu za kiume wangelitumia na kurudisha heshima zao ndani ya ndoa au ndani ya urafiki wao wa kimapenzi sio rahisi kurudisha nguvu za kiume kwa kutumia vyakula vya asili bibie Mwanaweja. Mwenye kutaka Dawa za kuongeza nguvu za kiume bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html waweza kuwasiliana na mimi kwa njia ya Email yangu nii hii hapa fewgoodman@hotmail.com
 
Back
Top Bottom