K Kimla JF-Expert Member Joined Jun 8, 2008 Posts 3,810 Reaction score 6,599 Nov 21, 2021 #1 Wadau, Nyumba nyingi zinathriwa na kuta kubanduka sbb ya chumvi na fungus. Nasigia kunadawa ya kupaka kabla ya kupiga rangi. Je, ni dawa ipi hiyo? Je, mikoani kama inapatikana? Tupeane ushauri.
Wadau, Nyumba nyingi zinathriwa na kuta kubanduka sbb ya chumvi na fungus. Nasigia kunadawa ya kupaka kabla ya kupiga rangi. Je, ni dawa ipi hiyo? Je, mikoani kama inapatikana? Tupeane ushauri.
Jay47 JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 294 Reaction score 284 Nov 22, 2021 #2 Wenye taarifa tunaomba muongozo!
Dolla_Mbili JF-Expert Member Joined May 28, 2017 Posts 1,207 Reaction score 2,981 Nov 22, 2021 #3 Chini kabisa kwenye blinding Kule wengine wanaweka DPM, ila ni pw zaidi kuweka Lami kama unajiweza.
Seawhale JF-Expert Member Joined Sep 25, 2016 Posts 1,477 Reaction score 1,668 Nov 22, 2021 #4 Wacheki tanfix Instagram.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 22, 2021 #5 Ngoja waje kukupa muongozo...
K Kimla JF-Expert Member Joined Jun 8, 2008 Posts 3,810 Reaction score 6,599 Dec 27, 2023 Thread starter #6 Jamani sijapata jibu
Mlatino Zeshalo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2014 Posts 2,130 Reaction score 3,599 Dec 27, 2023 #7 Kimla said: Jamani sijapata jibu Click to expand... Bado hujajenga?
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Dec 27, 2023 #8 Bila shaka ulipata mwongozo .