GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Wakuu namshukuru Mungu nimekuwa nikifanya utafiti wa magonjwa ya kuku
ambayo yanadaiwa kutotibika. Mimi sio daktari wa mifugo na wala sina taaluma
hiyo, utafiti wangu umekuwa wa kienyeji mno baada ya kukosa ushirikiano
kutoka kwa maafisa wa mifugo ambao mara kadhaa walitaka fedha au kunikatisha
tamaa.
Leo nakuja kifua mbele baada ya mchanganyo wa dawa ambao nimeufanya kuonekana
kuleta matunda kwa ugonjwa hatari wa kuku nilioutaja hapo juu. Katika utafiti wangu Jumla
ya kuku 22 wamekufa kutokana na majaribio mbalimbali ya dawa niliyokuwa nayafanya.
Lakini huu mchanganyo wa sasa umefanikiwa kuokoa maisha ya kuku 56 kati ya kuku 58
niliowajaribia.
Nawaombeni tuvute subira kwani mwezi wa 12. 2014 nitathibitisha kuwa ni dawa rasmi
au vinginevyo baada ya kukamilisha mambo machache ambayo yamesalia.
Mwisho Namshukuru MUNGU kwani haukuwa ujanja wangu isipokuwa ni Mwongozo wake.
AMANI KWENU.
ambayo yanadaiwa kutotibika. Mimi sio daktari wa mifugo na wala sina taaluma
hiyo, utafiti wangu umekuwa wa kienyeji mno baada ya kukosa ushirikiano
kutoka kwa maafisa wa mifugo ambao mara kadhaa walitaka fedha au kunikatisha
tamaa.
Leo nakuja kifua mbele baada ya mchanganyo wa dawa ambao nimeufanya kuonekana
kuleta matunda kwa ugonjwa hatari wa kuku nilioutaja hapo juu. Katika utafiti wangu Jumla
ya kuku 22 wamekufa kutokana na majaribio mbalimbali ya dawa niliyokuwa nayafanya.
Lakini huu mchanganyo wa sasa umefanikiwa kuokoa maisha ya kuku 56 kati ya kuku 58
niliowajaribia.
Nawaombeni tuvute subira kwani mwezi wa 12. 2014 nitathibitisha kuwa ni dawa rasmi
au vinginevyo baada ya kukamilisha mambo machache ambayo yamesalia.
Mwisho Namshukuru MUNGU kwani haukuwa ujanja wangu isipokuwa ni Mwongozo wake.
AMANI KWENU.