Kweli Mwana mtoka pabaya umedhihirisha ulikotoka,je akivipata afanye nini ili ziishe? Maana suala pekee si kuvipata hivyo ulivyomwambia bali kuondoa chaleNiletee mkojo wa mtu aliyekuchanja hizo chale, magadi robo kilo, yai moja la mjusi wa mwambani, ubani wa Pemba na maji ya mto Yordani. Ukivipata hivyo, chale kwisha
Pole sana mkuu.
sm serious jamani nazichukia duNiletee mkojo wa mtu aliyekuchanja hizo chale, magadi robo kilo, yai moja la mjusi wa mwambani, ubani wa Pemba na maji ya mto Yordani. Ukivipata hivyo, chale kwisha
Pole sana mkuu.
sm serious jamani nazichukia du
Eti kuna dawa ya kutoa chale zile za mgongo au sehemu nyingine ya mwili?
Kweli Mwana mtoka pabaya umedhihirisha ulikotoka,je akivipata afanye nini ili ziishe? Maana suala pekee si kuvipata hivyo ulivyomwambia bali kuondoa chale
Pale nimekutania tu binamu. Nenda S.H Amon, nakumbuka siku moja nilienda pale kununua dawa, dada mmoja kati ya wale masupeshalist akaniona na kovu mkono wangu wa kushoto akaniambia siku nikiliona kero nisisite kumuona aliondoe.
Nenda pale naamini utafanikiwa kwa kuwa mimi kovu langu ni kubwa mara 150 zaidi ya ukubwa wa chale. Kama aliona kovu linaweza kuwa wipid aut, sembuse chale.
Lkn 'demu mwenyewe ulimpata mkuu?'
hee unazo mkuu ..... wanawake wengi sana kwenye daladala wanakuwa na hizo chale, nahisi ni kazi za yule mbunge wa ccm mh. ngojani maarufu kwa jina la prof. maji marefu!!!!
Chemwali umemsikia mganga mpya toka Nigeria?Anatoa chale kwa kuchanja chale kwa maana ya bandika banduaAh, na wewe St. Joseph mbona hunielewi? Aje navyo kwangu mimi ndio fundi mwenyewe. Ila nasikitika kwamba itabidi nimchanje chale ili kuondoa chale.
Nimetoka Nigeria kuongeza ujuzi si muda mrefu
hee unazo mkuu ..... wanawake wengi sana kwenye daladala wanakuwa na hizo chale, nahisi ni kazi za yule mbunge wa ccm mh. ngojani maarufu kwa jina la prof. maji marefu!!!!
Chemwali umemsikia mganga mpya toka Nigeria?Anatoa chale kwa kuchanja chale kwa maana ya bandika bandua
Chemwali umemsikia mganga mpya toka Nigeria?Anatoa chale kwa kuchanja chale kwa maana ya bandika bandua
sio wanawake tu siku hizi watu kibao,,mabrothermen kwa masista duu nadhani wazazi walituponza..then nw wameokoka sasa kivumbi alama tuloachiwa..kuna mhubiri alisema kwenye chale hiyo maaana yake NI AGANO NA SHETANI LA NITAKUPENDA HADI KUFA DU
sio wanawake tu siku hizi watu kibao,,mabrothermen kwa masista duu nadhani wazazi walituponza..then nw wameokoka sasa kivumbi alama tuloachiwa..kuna mhubiri alisema kwenye chale hiyo maaana yake NI AGANO NA SHETANI LA NITAKUPENDA HADI KUFA DU
Ha ha ha ha Mwana mtoka pabaya nimekukubali ila sidhani kama CDM wanaweza kukubali chale za Maji Marefu labda wawe wamekufaYeye hataki za mgongoni, mimi nitamchanja kwa mtindo ule Deadstone Lusinde alisema CDM wamechanjwa na Maji Marefu (Kwenye Didas Mas.b..i)
Sisi ni waafrika na chale ni tamaduni zetu,ukiangalia sana ni watanzania wachache sana ambao hawana chale na hawa ni wale wa kizazi cha dot com ila sisi wa zamani chale izilikuwa hazikwepeki na mbaya zaidi wengine zilikuwa zinachanjwa sehemu ambazo huwezi kuficha.Nakumbuka siku moja ilibidi nipigwe chale ya ulimi du!Hapo uzalendo wa imani za kimila ulinishinda nikasema kama hakuna dawa nyingine zaidi ya kunilima hiyo chale basi sitaki.Atoe tangazo hata humu JF aone atakavyopata soko..nguo zinaficha mengi..heri mimi nina 2 tu wengine..kama chain...tena zinaonekana hata ajifanye mzungu lakini zinaning'inia shingoni inashusha P kweli
Dada yangu vya kuambiwa changanya na zako... hivi lile kovu la sindano ya chanjo begani, nalo ni agano la shetani?
Wataalamu wa kienyeji hawakuwa na singano za kuchoma dawa, hivyo kama dawa si ya kunywa na ilitakiwa iingie mwilini moja kwa moja, walikuwa wanakata kidogo na kuipaka. Hakuna uhusiano wowote kati ya shetani na chale... na hizi dawa za mimea tunazoziita za shetani leo, ndizo zilizowapa afya wazee wetu hadi wakatuzaa, kabla hazijaja sindano na vidonge vya wazungu.
Tusipuuze utamaduni wetu, tukatukuza wa wageni...
Hahahaaa.... Sijawahi kuwa mshabiki wa timu anayochezea Mwai...Thanks kwa ushauri..but kwa kuanza tu hiyo picha yako hapo pembeni ungeweka ya Mwaikimba