Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ni waafrika na chale ni tamaduni zetu,ukiangalia sana ni watanzania wachache sana ambao hawana chale na hawa ni wale wa kizazi cha dot com ila sisi wa zamani chale izilikuwa hazikwepeki na mbaya zaidi wengine zilikuwa zinachanjwa sehemu ambazo huwezi kuficha.Nakumbuka siku moja ilibidi nipigwe chale ya ulimidu!Hapo uzalendo wa imani za kimila ulinishinda nikasema kama hakuna dawa nyingine zaidi ya kunilima hiyo chale basi sitaki.
Kuna mdau humu kashauri uende S H Amon pale maeneo ya Samora,inaweza kusaidia namna ya kuondoa matatizo uliyonayo,jaribu kote kote ila kwa Mwana mtoka pabaya ingekuwa mimi ningeogopa.
Pole sana ndugu yangu,ulikubalije kupigwa chale ya ulimi?Yafaa uonane na Mwana Mtoka Pabaya kwa tatizo ulilonaloMkuu... hata mie ni muhanga, sasa sijui niifuteje kwenye ulimi???!
Mkuu vumilia tu, maana chale zenyewe mbili tu unapiga kelele,wamakonde watasemaje na urembo wao hadi usoni?
Mbili lakini mmh ukivua tu cha kwanza mtu kuona ni Chale
we tatizo lako hujiamini,mwenyewe nina chale kibao mwilini na wala siogopi mtu,masister wa mjini nawagegeda kama kawaida,tena wengi wananiuliza hasa hivi visichana vyenye umri kuanzia miaka 24 kushuka chini,huwa navijibu hayakuhusu haya ni mambo ya kwetu,kinachofuata hapo ni dozi ya kufa mtu mana chale zingine zilikuwa za kuongeza nguvu,kesho yeye mwenye atarudi tena bure kabisa na kumwacha blazamen wake wa kizazi cha dot com asiye na chale,cha msingi usiwe mwanga
Pole sana ndugu yangu,ulikubalije kupigwa chale ya ulimi?Yafaa uonane na Mwana Mtoka Pabaya kwa tatizo ulilonalo
Hahahahha weee ni nooooouumawe tatizo lako hujiamini,mwenyewe nina chale kibao mwilini na wala siogopi mtu,masister wa mjini nawagegeda kama kawaida,tena wengi wananiuliza hasa hivi visichana vyenye umri kuanzia miaka 24 kushuka chini,huwa navijibu hayakuhusu haya ni mambo ya kwetu,kinachofuata hapo ni dozi ya kufa mtu mana chale zingine zilikuwa za kuongeza nguvu,kesho yeye mwenye atarudi tena bure kabisa na kumwacha blazamen wake wa kizazi cha dot com asiye na chale,cha msingi usiwe mwanga