zunya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 1,529
- 1,068
Jamani wanajamvi ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo nimekua nakosa raha kwa kutokwa jasho kwapani hata kama nimetoka kuoga kuna jamaa wakanambia eti kunyoa kwapa kutafanya tatizo liishe.
Lakini wapi Kwapa linakua jeupe lakini mambo ni yale yale nimekua sipendi kuvaa baadhi ya nguo nazozipenda kisa zikilowa zinaonesha sana ramani na kunikosesha raha wakuu kwa mwenye kujua tatizo na dawa msaada.
Lakini wapi Kwapa linakua jeupe lakini mambo ni yale yale nimekua sipendi kuvaa baadhi ya nguo nazozipenda kisa zikilowa zinaonesha sana ramani na kunikosesha raha wakuu kwa mwenye kujua tatizo na dawa msaada.