Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hisia zitaendelea kuwepo. Akifanya hivyo atashindwa tu kuzaa lkn hisia za ile kitu ni pale pale.Ondoa hiyo mipira miwili katikati ya mapaja
Well ,,maisha nikuchagua na kupanga .
Kama umechagua ivo basi pangilia maisha yako yaweze kufaa mahitaji yako.
Jiepushe namazingira/watu wanaoweza kukushawishi.
Jiepushe na unywaji pombe .
Kula nahakikisha unafanya mazoezi (/ukila alafu ukakaa kimya bila mazoezi mafuta yanakua mengi ).
Alafu km unasoma Basi kua bize nashule yako nakama unafanya kazi.zako basi hakikisha unazifanya sana ,,ili unaporudi om uwe umechoka usipate muda Wa kufikiria sex.
Nyege haziuwi ..nyege hazikupunguzii kitu ,,nawala hamna faida ya kugegedana ikiwa unahisi hujatimiza malengo yako naukiwa unahisi endapo ukigegeda mambo yataenda mlama.
Nyege nihatar kama utaziendekeza .
All in all ,Mwombe Muumbaji Wa Mbigu akupe ujasiri Wa kulishinda ilo.
Ipo siku utajuta. Utatamani hizo hisia zikurudie lakini wapi. Pole sana mkuu! It seems there is something behind
Jiunge CHAPUTA hutojutaHamjambo wanajukwaa,
Kama tittle inavyojieleza,
Natafuta dawa ya kuzuia hisia za mapenzi yaani sitaki kushiriki tendo la ndoa katika maisha yangu yaliyobaki.
Je, kuna dawa yoyote naweza kutumia kufanikisha hazma hii? Lengo la kufanya hivi nikutokana na maoni yangu kuhusu mapenzi naamini kufanya mapenzi ni chanzo cha umasikini, majuto, mateso, udhalilishaji, utoaji wa mimba, magonjwa, uchafu, migogoro, stress n.k.
Naamini kwa kufanya hivi sitamuathiri mtu kwani sijaoa kama unaijua hiyo dawa nisaidie tafadhali.
Mkuu chama 2 chawa,
Kabla ya kuamua kufanya hayo yote ni lazima moyo wako ukubali kufanya hayo maamuzi uliyoamua,
Ngoja nikupe mfano kuhusu mimi,
Katika maisha yangu nimejikuta nimefanya kila kitu kulingana na mazingira yangu hivyo sijaona kigeni bado, hata wanawake nimetembea nao mpaka nikachoka nikafanya kila aina ya starehe na uchafu lakini mwaka huu mwezi wa 8 nikasema sitaki kujihusisha na mapenzi ya aina yoyote hao wanawake kwa sasa nikikaa nao napiga nao stori na kushirikiana mambo ya kijamii, kiuchumi n.k
Sina hata chembe za hisia juu yao hata kama wakiwa hawana nguo mwilini mwao bado nawaona wa kawaida ni kweli ukiwatizama ni wazuri wamejaliwa si rahisi kwa mwanaume rijali kukaa nao bila kuwatongoza wala kuwatamani kwa jinsi walivyo umbika,
Unajua ni kwanini ni kwasababu nilisha " set " akili yangu kuwa sihitaji hisia yoyote na mwanamke hata awe mzuri vipi lakini si kwa milele ila kwa muda mfupi tu yaweza kuwa miaka 5 au 10, hii itakusaidia katika kipindi hicho kufanya mambo yako ya muhimu na ukiwa " serious " utajikuta umepiga hatua ndefu sana katika maisha yako "either" kiuchumi, kielimu, na kadhalika...
Huo muda wa kuzuia hisia ndiyo muda mzuri wa kufanya mambo ya maana na kwa akili zaidi,
Punguza kufanya matumizi makubwa, unywaji wa pombe , uvutaji wa sigara, na mambo yasiyo na msingi kiafya na kimaendeleo baada ya miaka 5 au 10 unaangalia je nimefanya hayo yote kwa kujinyima na sasa ni hatua gani niliyofikia ya mafanikio ukiona upo vizuri basi ni wazi ya kwamba unarudisha hisia zako na kufanya mambo yako kama kawaida ila kwa uangalifu na unakini mkubwa kusudi usije kupotea tena.
Hivi ndivyo nilivyo panga kufanya, kamwe huwezi kutoa hisia milele ila kwa kitambo tu.........