Dawa ya kuzuia maambukiizi ya UKIMWI na itumike muda gani kwa mtu aliyebakwa?

Dawa ya kuzuia maambukiizi ya UKIMWI na itumike muda gani kwa mtu aliyebakwa?

Mkuu Deception pongez kwa kaz kubwa unayoifanya ila response ya watu inakuwa ndogo na nimejaribu kufatilia post zako nikagundua lugha unayotumia ni ngumu hasa pale unapoweka kisw-engl kwan weng english ni barrier kwao hivyo hubak njia panda hapa ningependa kukushaur kwa kuwa unafanya hiv ili kuiokoa jamii ya watz weng wasio na elimu anzisha uzi then hakikisha kila sms unaitoa kwa kiswahil utawasaidia wengi nadhan ndo maana weng hawafuat link unazoweka kwa kuwa lugha ni kikwazo sio kupenda kwao pia niliwah kukuuliza kama mtu katumia Arvs kwa muda na meshagundua madhara yake nitawezaje kumsaidia kwan sio kitendo cha kibinadam kumuona mtu anajichimbia kabur hlf nikakaa kimya kama kuna njia mbadala iweke wazi
 
Last edited by a moderator:
Swali:......kama mtu katumia Arvs kwa muda na meshagundua madhara yake nitawezaje kumsaidia kwan sio kitendo cha kibinadam kumuona mtu anajichimbia kabur hlf nikakaa kimya kama kuna njia mbadala iweke wazi.

Jibu:Mr. Mangi nilishakujibu swali hili labda hukuliona jibu kwa kuwa huwa naandika mambo mengi sana au sina mpangilio mzuri wa kujibu.Ni hivi;
Suala la kusitisha kutumia ARVs ni zito sana,nilikwambia kwamba si vyema mtu kusitisha kutumia bila kujua vizuri madhara yatakayomtokea na jinsi ya kuyatatua,hili lilitakiwa kuwa suala la serikali kupitia vituo vyake vya afya kuwasaidia wale watakaotaka kusitisha matumizi ya ARVs kama ilivyo kwenye madawa ya kulevya kama heroin.Lakini suala la serikali kushiriki kwenye hili jambo ni kama haiwezekani kwa kuwa hao ndio wametumwa na wenye biashara ya madawa haya ya ARVs kusimamia mauzo ya dawa hizi pengine hata bila kujijua.
Na ndio maana nahangaika sana kuelimisha watu ili waelewe ukweli na hivyo itawasaidia wao au watu wao wa karibu wasianze kabisa kuzitumia dawa hizo pindi watakapo bambikiziwa uongo kwa kupimwa HIV+ na vipimo feki vya HIV.Kuepuka kuanza kutumia ARVs ndio jambo la muhimu na rahisi kuliko lile la kusitisha kutumia.Madhara ambayo yanaweza kutokea baada ya kuacha/kusitisha kutumia ARVs yanaweza kuwa makubwa sana na yanaweza kukusababishia kifo kama huna weledi na pengine utahitaji kupelekwa hospitali ili kuokoa maisha yako, na kama una bahati ya kumpata daktari mzuri na mwelewa basi utapona kabisa na kuondokana na madhara yatakayojitokeza na ndio maana huwa nasema hospitali ni muhimu kujihusisha kwenye hili.
Kumbuka pia nilisema kusitishwa kutumia ARVs ndiko kunakowapa wanaofanya biashara hii maksi/alama nyingi za ushindi na kuwafanya watu waamini kwamba kweli VVU/UKIMWI upo kiuhalisia bila kufahamu kwamba mtu akifa kwa kuacha kutumia ARVs huwa anakufa kwa madhara yanayosababishwa na ARVs ambayo yanayojitokeza baada ya kusitisha kuzitumia.
Fahamu kwamba madhara ya dawa si lazima yajitokeze wakati wa kuzitumia pekee,hata ukiongeza dozi,kupunguza dozi, au kusitisha matumizi.Huu ni ukweli wa kisayansi kabisa kwenye dawa ambazo zinasababisha mfungo/uraibu/addiction,ARVs zinasababisha mfungo/uraibu/addiction kama yalivyo madawa mengi ya kulevya hivyo si rahisi kuacha ghafla kuzitumia bila kukusababishia madhara hasa kama umetumia kwa muda mrefu.Pia si wote wanaopata madhara baada ya kuziacha,hii hutegemea na muda wa kuzitumia na mambo mengine mengi.Kuna post moja ya MziziMkavukwenye thread yake mwenyewe hapo chini inasema kwamba side effects/madhara ya dawa huweza kutokea pia hata pale unapoacha kuzitumia,dawa za mlengo huu wa kusababisha mfungo/uraibu/addiction ndivyo zilivyo.

UCHUNGUZI WA WANA-SAYANSI Paracetamol hufupisha maisha

Kama mtumiaji wa ARVs anataka kuacha kuzitumia inatakiwa aache taratibu kwa kupunguza dozi na si ghafla huku akitumia dawa zenye nguvu za kuondoa sumu mwilini/very strong detoxifying agents kwa pamoja.Vyakula anavyokula pia vinahusika,inatakiwa ale sana vyakula vyenye asili ya mimea(majani na matunda,si nyama au mafuta au vya kusindikwa).Hiyo ni kwa kifupi,narudia,sishauri mtu aache bila kujua madhara na jinsi nzuri ya kukabiliana nayo.

Nitajaribu kufuata ushauri wako kuhusu lugha ingawa ni ngumu kwa baadhi ya maneno kuyaweka kwa kiswahili, kwa kuwa maneno mengine yanatoka kwenye elimu ambayo kwenye utamaduni wetu hamna.
 
Swali:......kama mtu katumia Arvs kwa muda na meshagundua madhara yake nitawezaje kumsaidia kwan sio kitendo cha kibinadam kumuona mtu anajichimbia kabur hlf nikakaa kimya kama kuna njia mbadala iweke wazi.

Jibu:Mr. Mangi nilishakujibu swali hili labda hukuliona jibu kwa kuwa huwa naandika mambo mengi sana au sina mpangilio mzuri wa kujibu.Ni hivi;
Suala la kusitisha kutumia ARVs ni zito sana,nilikwambia kwamba si vyema mtu kusitisha kutumia bila kujua vizuri madhara yatakayomtokea na jinsi ya kuyatatua,hili lilitakiwa kuwa suala la serikali kupitia vituo vyake vya afya kuwasaidia wale watakaotaka kusitisha matumizi ya ARVs kama ilivyo kwenye madawa ya kulevya kama heroin.Lakini suala la serikali kushiriki kwenye hili jambo ni kama haiwezekani kwa kuwa hao ndio wametumwa na wenye biashara ya madawa haya ya ARVs kusimamia mauzo ya dawa hizi pengine hata bila kujijua.
Na ndio maana nahangaika sana kuelimisha watu ili waelewe ukweli na hivyo itawasaidia wao au watu wao wa karibu wasianze kabisa kuzitumia dawa hizo pindi watakapo bambikiziwa uongo kwa kupimwa HIV+ na vipimo feki vya HIV.Kuepuka kuanza kutumia ARVs ndio jambo la muhimu na rahisi kuliko lile la kusitisha kutumia.Madhara ambayo yanaweza kutokea baada ya kuacha/kusitisha kutumia ARVs yanaweza kuwa makubwa sana na yanaweza kukusababishia kifo kama huna weledi na pengine utahitaji kupelekwa hospitali ili kuokoa maisha yako, na kama una bahati ya kumpata daktari mzuri na mwelewa basi utapona kabisa na kuondokana na madhara yatakayojitokeza na ndio maana huwa nasema hospitali ni muhimu kujihusisha kwenye hili.
Kumbuka pia nilisema kusitishwa kutumia ARVs ndiko kunakowapa wanaofanya biashara hii maksi/alama nyingi za ushindi na kuwafanya watu waamini kwamba kweli VVU/UKIMWI upo kiuhalisia bila kufahamu kwamba mtu akifa kwa kuacha kutumia ARVs huwa anakufa kwa madhara yanayosababishwa na ARVs ambayo yanayojitokeza baada ya kusitisha kuzitumia.
Fahamu kwamba madhara ya dawa si lazima yajitokeze wakati wa kuzitumia pekee,hata ukiongeza dozi,kupunguza dozi, au kusitisha matumizi.Huu ni ukweli wa kisayansi kabisa kwenye dawa ambazo zinasababisha mfungo/uraibu/addiction,ARVs zinasababisha mfungo/uraibu/addiction kama yalivyo madawa mengi ya kulevya hivyo si rahisi kuacha ghafla kuzitumia bila kukusababishia madhara hasa kama umetumia kwa muda mrefu.Pia si wote wanaopata madhara baada ya kuziacha,hii hutegemea na muda wa kuzitumia na mambo mengine mengi.Kuna post moja ya MziziMkavukwenye thread yake mwenyewe hapo chini inasema kwamba side effects/madhara ya dawa huweza kutokea pia hata pale unapoacha kuzitumia,dawa za mlengo huu wa kusababisha mfungo/uraibu/addiction ndivyo zilivyo.

UCHUNGUZI WA WANA-SAYANSI Paracetamol hufupisha maisha

Kama mtumiaji wa ARVs anataka kuacha kuzitumia inatakiwa aache taratibu kwa kupunguza dozi na si ghafla huku akitumia dawa zenye nguvu za kuondoa sumu mwilini/very strong detoxifying agents kwa pamoja.Vyakula anavyokula pia vinahusika,inatakiwa ale sana vyakula vyenye asili ya mimea(majani na matunda,si nyama au mafuta au vya kusindikwa).Hiyo ni kwa kifupi,narudia,sishauri mtu aache bila kujua madhara na jinsi nzuri ya kukabiliana nayo.

Nitajaribu kufuata ushauri wako kuhusu lugha ingawa ni ngumu kwa baadhi ya maneno kuyaweka kwa kiswahili, kwa kuwa maneno mengine yanatoka kwenye elimu ambayo kwenye utamaduni wetu hamna.

nashukuru kwa majibu ila mim sio victim wa hayo madawa kama ulivyoelewa ila nilitaka kutoa msaada kwa ndugu yangu yeye alianza kwa kukohoa, homa za hapa na pale hlf akavimba miguu na kila akipima ugonjwa anaambiwa hana ugonjwa baadae akapima vvu na kukutwa Hiv+. Kweli mpangilio wako wa kutoa majibu ni mbovu kwani muuliza swali hatapata notification yoyote kwenye profile yake hivyo hawez kujua umemjibu labda kama ataruid kwenye uzi kwa ishu zake nyingine ndo akutane na majibu yako jitahidi hata uwe una taja jina la mhusika na kuweka @ mwanzon mwa jina itasaidia sana badala ya kucolor jina Deception
 
Last edited by a moderator:
nashukuru kwa majibu ila mim sio victim wa hayo madawa kama ulivyoelewa ila nilitaka kutoa msaada kwa ndugu yangu yeye alianza kwa kukohoa, homa za hapa na pale hlf akavimba miguu na kila akipima ugonjwa anaambiwa hana ugonjwa baadae akapima vvu na kukutwa Hiv+. Kweli mpangilio wako wa kutoa majibu ni mbovu kwani muuliza swali hatapata notification yoyote kwenye profile yake hivyo hawez kujua umemjibu labda kama ataruid kwenye uzi kwa ishu zake nyingine ndo akutane na majibu yako jitahidi hata uwe una taja jina la mhusika na kuweka @ mwanzon mwa jina itasaidia sana badala ya kucolor jina Deception

Sasa mkuu unasema HIV/ AIDS ni ugonjwa fake ? mimi sibishi sababu ni mtazamo wako, na umesema una dawa za mimea sasa sijui unauza au hauziuzi? kama hauzi uzi ziweke basi tuzijue maana tuna ndugu, jamaa na marafiki wameathirika na ugonjwa huu sasa unawasaidiaje maana knowledge unayokubwa sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
......mim sio victim wa hayo madawa kama ulivyoelewa ila nilitaka kutoa msaada kwa ndugu yangu yeye alianza kwa kukohoa, homa za hapa na pale hlf akavimba miguu na kila akipima ugonjwa anaambiwa hana ugonjwa baadae akapima vvu na kukutwa Hiv+.....

@
Mr. Mangi maelezo yangu hayakukulenga wewe kama utakuwa umeyasoma vizuri,lakini sikupingi kwa kuwa hili hutegemea na maono ya mtu mwenyewe.Pia hata kama nilikulenga wewe kuna ubaya gani?Kwani wewe pia huwezi kuwa victim na ukahitaji ushauri?Tuachane na hayo.
Nashukuru kwa ushauri wako ulionipa,mimi sina muda mrefu humu JF hivyo bado sijafuatilia mambo ya msingi kwenye uandishi kama haya uliyoniambia,kwa kuwa nina tabia ya kupenda kujifunza kila kitu ilimradi kiwe na maana ningependa kupata elimu ya mambo haya ili iwe rahisi kwangu kuwafikia walengwa.Kuna kitu nakifahamu ambacho wengi hawakifahamu ambacho huniumiza sana kwa kuwa nina uhakika nacho na watu wanaendelea kufa kwa kutokuwa na ufahamu nacho,hivyo nashindwa kukaa kimya ingawa silipwi kwa kutoa elimu hii.Kuna wanaodharau na pia wapo wanaojali ingawa ni wachache,hii hainikatishi tamaa kwa kuwa jambo geni kwenye jamii hupata wakati mgumu sana kukubalika hasa kama jambo hilo linapingana na mafundisho rasmi.

Kuhusu huyo ndugu yako;kuna uwezekano mkubwa mahali alikopima ugonjwa wake hawakutumia vipimo sahihi au hawakuwa makini.Mtu anaumwa na anaonekana kwa macho kwamba anaumwa halafu unampima huoni ugonjwa,je wewe huoni kwamba tatizo liko kwa wapimaji/vipimo?Vinginevyo maelezo yako yatakuwa na kasoro.
Tiba rasmi(za magharibi) ndivyo zilivyo,wakishindwa kuona tatizo hukimbilia kung'ang'nia kupima VVU,hata mimi ilinitokea kwa mtoto wangu lakini nilipingana nao na kuwashauri wampime vipimo vya ini.Baada ya kumpima kweli wakaona ini lina sumu nyingi na kupewa dawa hadi leo yuko safi anaendelea na masomo,lakini bado walimpima kwa siri VVU lakini hawakumwona navyo,na hata angekuwa HIV+ nisingekubali atumie ARVs.Hii ndio faida ya uelewa.Hawa jamaa ni wajanja sana wanakupa ARVs halafu wanakupa na dawa za kukuponya ugonjwa wako maalum unaokusumbua ili ikipona ujue kwamba ARVs zimekusaidia halafu ARVs zinaanza kukulainisha taratibu mpaka unalazwa ardhini.
Ndugu yako atakuwa na tatizo linalofahamika kabisa kisayansi na linatatulika,ni ukosefu wa uelewa ndio umemfenya afikie mikononi mwa wauaji.Kukohoa,miguu kuvimba ni tatizo rahisi sana kama na mimi ningemwona na kutoa ushauri wangu.Siwezi kusema mengi humu kwa kuwa sijamwona,ila ARVs zitamwua,hilo halina ubishi.Najua kila mtu atakufa lakini sikubaliani na kitendo cha mtu mwingine kuwa na mamlaka juu ya uhai wa mtu mwingine.Hili nitalipinga mpaka naingia kaburini kwa kuwa ukweli uko wazi.Si wote watakaokubaliana na maelezo haya ila hata kama nitampata mmoja tu,ananitosha sana kunisaidia kuendeleza mapambano.



 
Sasa mkuu unasema HIV/ AIDS ni ugonjwa fake ? mimi sibishi sababu ni mtazamo wako, na umesema una dawa za mimea sasa sijui unauza au hauziuzi? kama hauzi uzi ziweke basi tuzijue maana tuna ndugu, jamaa na marafiki wameathirika na ugonjwa huu sasa unawasaidiaje maana knowledge unayokubwa sana mkuu

mkuu anaetoa haya maelezo kwa ufasaha zaid anaitwa deception mi nimejifunza kupitia link anazotoa ila ipo hivi HIV ni kirusi ambaye hana madhara yoyote ktk mwili wa binadamu pia wapo ktk viumbe wengine kama paka, panya na mbwa n.k na wapo toka miaka mingi iliyopita ila miaka ya 80 ndipo udanganyifu uliposhika nafasi kwa madhumun ya kujikusanyia fedha toka kwenye madawa na kucontrol idadi ya watu kwani walidai Hiv anasababisha ukimwi yaan upungufu wa kinga mwilini na kutoa dawa zitakazosaidia kumwangamiza AZT sasa ni ARVS ambazo zilipelekea vifo kuongezeka kwa 94% ya wagonjwa kwan dawa hizo hushambulia kinga ya mwili na kumfanya mgonjwa kudhoofika na wao hudai ni matokeo ya virusi hao jambo ambalo sio kweli kwani side effect ya dawa hizo ndizo hupelekea hayo yote halaf ukimwi unasababishwa na mambo mengi kama vile ukosefu wa lishe bora, maji safi na salama, msongo wa mawazo, unywaji wa pombe kupita kias pia kwa Afrika vipimo vya Hiv vimekuwa vikitoa majibu ya uongo hasa kwa wajawazito na wagonjwa wengine kama wa Tb na huwa hupima mara 1 na kufanya hitimisho tofaut na nchi za magharibu na hivyo kuwashaur kutumia Arvs jambo ambalo ni hatar kwa afya
Pia kwa mtu yeyote aliyeenda kupima akaambiwa Hiv+ mshaur apate maji safi na salama, ale lishe bora na za asili, atumie neti yenye dawa, alale usingiz wa kutosha, muondolee hofu, ajitibu ugonjwa alionao na sio kumeza ARVS n.k akizingatia hayo baada ya muda afya yake itarudi kuwa njema kwa aliyemeza Arvs kwa muda mrefu asiache kwa ghafla kwani ni kama madawa ya kulevya.
 
mkuu anaetoa haya maelezo kwa ufasaha zaid anaitwa deception mi nimejifunza kupitia link anazotoa ila ipo hivi HIV ni kirusi ambaye hana madhara yoyote ktk mwili wa binadamu pia wapo ktk viumbe wengine kama paka, panya na mbwa n.k na wapo toka miaka mingi iliyopita ila miaka ya 80 ndipo udanganyifu uliposhika nafasi kwa madhumun ya kujikusanyia fedha toka kwenye madawa na kucontrol idadi ya watu kwani walidai Hiv anasababisha ukimwi yaan upungufu wa kinga mwilini na kutoa dawa zitakazosaidia kumwangamiza AZT sasa ni ARVS ambazo zilipelekea vifo kuongezeka kwa 94% ya wagonjwa kwan dawa hizo hushambulia kinga ya mwili na kumfanya mgonjwa kudhoofika na wao hudai ni matokeo ya virusi hao jambo ambalo sio kweli kwani side effect ya dawa hizo ndizo hupelekea hayo yote halaf ukimwi unasababishwa na mambo mengi kama vile ukosefu wa lishe bora, maji safi na salama, msongo wa mawazo, unywaji wa pombe kupita kias pia kwa Afrika vipimo vya Hiv vimekuwa vikitoa majibu ya uongo hasa kwa wajawazito na wagonjwa wengine kama wa Tb na huwa hupima mara 1 na kufanya hitimisho tofaut na nchi za magharibu na hivyo kuwashaur kutumia Arvs jambo ambalo ni hatar kwa afya
Pia kwa mtu yeyote aliyeenda kupima akaambiwa Hiv+ mshaur apate maji safi na salama, ale lishe bora na za asili, atumie neti yenye dawa, alale usingiz wa kutosha, muondolee hofu, ajitibu ugonjwa alionao na sio kumeza ARVS n.k akizingatia hayo baada ya muda afya yake itarudi kuwa njema kwa aliyemeza Arvs kwa muda mrefu asiache kwa ghafla kwani ni kama madawa ya kulevya.

Mbona wanadai ukianza kutumia ARV unakua na afya njema hata kama ulikua umekonda?
 
tatizo ni uelewa wa genetics ndio tatizo labda nisema hivi genetic code hua ni identical haifana na mtu mwingine mfano code za kirusi cha hiv hakiwezi kufana na kirusi kingine na hakuna kirusi kingine chochote kinachobind CCR5 or CXCR4 zaid ya hiv kuna vipimo vikingi vya hiv na vyote ni sahihi mfano HAT inapima hizi code za HIV MA, CA, SP1, NC, SP2, P6,RT, RNase H, IN, PR na gp120, gp41 hizi huwezi kuzikuta kwenye kirusi kingine chochote zaid ya hiv hii ndio sababu ya kusema ni accurate kwa hiyo inamaana akipima genetic material ndio virus mwenyewe huwezi kupata AIDS kama HIV huna ila unaweza kupata HIV AIDS usipate hii ni kwanini HIV ni infection AIDS sio infection AIDS ni chronic stage ya HIV pia or HIV ni virus anae cause AIDS nasio kila hiv positeve ana AIDS as HIV can remain in a latent stage for many years but if HIV left untreated usually progresses to AIDS ambayo ndo chronic stage AIDS ww unakosea kuelezea vizuri AIDS defined as possessing a CD4+ lymphocyte count under 200 cells/μl or HIV infection plus co-infection with an AIDS-defining opportunistic infection. niambie ugonjwa gani upo kama hivi ambao sio HIV kama leta madhara kama haya PIA HIV anaweza kuwa kwa muda mrefu kwenye mili sababu anaweza kuwaactivated after years of latency au genetic material has been altered HIV anadestroy T-cell kwa sababu HIV is able to suppress the immune system by secreting proteins that interfere with it mfano HIV's coat protein, gp120, sheds from viral particles and binds to the CD4 receptors of otherwise healthy T-cells; this interferes with the normal function of these signalling receptors. Pia HIV protein, Tat, has been demonstrated to suppress T cell activity. Infected lymphocytes express the Fas ligand, a cell-surface protein that triggers the death of neighboring uninfected T-cells expressing the Fas receptor.This "bystander killing" effect shows that great harm can be caused to the immune system even with a limited number of infected cells.

khalfan56, Swali kubwa la Deception hapa siyo kupatikana kwa HIV ndani ya damu ya binadamu, ila ni je, unathibitishaje kwamba madhara yaonekanayo "AIDS" yamesababishwa na huyo HIV?
 
Last edited by a moderator:
dah! hii habari thabo mbeki, wakati akiwa rais wa afrika kusini, aliivalia njuga sana. sijui juhudi zake ziliishia wapi
 
Deception, mjadala s ugomvi wala si usishandani. Kama kuna ambacho una kifahamu kuhusu swala fulani kiweke mezani anayekubali atakubali na anayepinga atapinga kwa hoja. Hivyo ndivyo mjadala unatakiwa kwenda, njia unayotumia sidhani kama ni nzuri. Ila hongera kwa ufatiliaji wa mambo

huyu atakuwa anatokea kule afrika kusini kwa raisi yule anayeoga maji ya moto
 
Last edited by a moderator:
huyu atakuwa anatokea kule afrika kusini kwa raisi yule anayeoga maji ya moto

Tatizo la watu walio kwenye HIV/AIDS mainstream hawataki kusikiliza hoja za wale walio nje,yaani wale wanaopinga kuhusu HIV/AIDS theory na badala yake hung'ang'ania ya kwao ambayo hayana ukweli wa kisayansi.Mbona sisi tulio nje tumewasikiliza na kutoa scientific facts kuwapinga?Kwa nini na wao wasitusikilize na kutoa scientific facts kutupinga?
Wanaopinga HIV/AIDS theory si watu wadogo,ni watu wakubwa na wanasayansi wakubwa wenye good reputations na wengine wana nobel prizes,hivyo hawakutakiwa kubezwa,sasa kwa nini HIV/AIDS mainstream hukimbiakimbia bila kutoa hoja za kisayansi kuwapinga?
Ndio maana ninakuwa na hasira nao,nashindwa kujizuia kwa kuwa wanaua na wameshaua watu wengi sana kwa kuwapima vipimo feki na kuwapa madawa yenye sumu ambayo hayatibu kitu chochote zaidi ya kuua,na wahanga wa dawa hizi wamo ndugu zangu kabla sijajua ukweli huu.Ukiwapa hoja za msingi hawajibu,wanakimbilia kuleta za kwao ambazo ni za kufikirika,hazijafanyiwa lab experiments,hazina logical discussions na hawana scientific proof or any written paper to prove their arguments.Nina hasira nao sana hawa watu.
 
Mbona wanadai ukianza kutumia ARV unakua na afya njema hata kama ulikua umekonda?

mara nying mtu huenda kupima pale afya yake inapokuwa sio nzur akiwa na maradhi ya hapa na pale kama kikohozi, kifua, kuvimba miguu n.k na anapopima na kuambiwa Hiv+ hupewa Arvs ila zinaambatanishwa na dawa za ugonjwa wake halisi hivyo huzimeza zote kwa pamoja na mtu huanza kunenepa baada ya ugonjwa wake halisi kupona vinginevyo endapo ugonjwa wake halisi hautafahamika hatapewa Arvs akiambatanishiwa na dawa nyingine na ni vigumu mtu huyu kunenepa it's a rare case
 
mkuu anaetoa haya maelezo kwa ufasaha zaid anaitwa deception mi nimejifunza kupitia link anazotoa ila ipo hivi HIV ni kirusi ambaye hana madhara yoyote ktk mwili wa binadamu pia wapo ktk viumbe wengine kama paka, panya na mbwa n.k na wapo toka miaka mingi iliyopita ila miaka ya 80 ndipo udanganyifu uliposhika nafasi kwa madhumun ya kujikusanyia fedha toka kwenye madawa na kucontrol idadi ya watu kwani walidai Hiv anasababisha ukimwi yaan upungufu wa kinga mwilini na kutoa dawa zitakazosaidia kumwangamiza AZT sasa ni ARVS ambazo zilipelekea vifo kuongezeka kwa 94% ya wagonjwa kwan dawa hizo hushambulia kinga ya mwili na kumfanya mgonjwa kudhoofika na wao hudai ni matokeo ya virusi hao jambo ambalo sio kweli kwani side effect ya dawa hizo ndizo hupelekea hayo yote halaf ukimwi unasababishwa na mambo mengi kama vile ukosefu wa lishe bora, maji safi na salama, msongo wa mawazo, unywaji wa pombe kupita kias pia kwa Afrika vipimo vya Hiv vimekuwa vikitoa majibu ya uongo hasa kwa wajawazito na wagonjwa wengine kama wa Tb na huwa hupima mara 1 na kufanya hitimisho tofaut na nchi za magharibu na hivyo kuwashaur kutumia Arvs jambo ambalo ni hatar kwa afya
Pia kwa mtu yeyote aliyeenda kupima akaambiwa Hiv+ mshaur apate maji safi na salama, ale lishe bora na za asili, atumie neti yenye dawa, alale usingiz wa kutosha, muondolee hofu, ajitibu ugonjwa alionao na sio kumeza ARVS n.k akizingatia hayo baada ya muda afya yake itarudi kuwa njema kwa aliyemeza Arvs kwa muda mrefu asiache kwa ghafla kwani ni kama madawa ya kulevya.

umetoa summary nzuri sana kiongoz,,ambaye hatakuelewa ana tatizo
 
umetoa summary nzuri sana kiongoz,,ambaye hatakuelewa ana tatizo

Mkuu umenifurahisha sana.Unajua sisi weusi tuna matatizo sana,hatupendi kushughulisha ubongo wetu kabisa.Wenzetu wazungu walio wengi walishapata habari hizi muda mrefu na kwa kuwa ni wafuatiliaji ndio maana si rahisi kuona mzungu anahofu ya HIV,wengi wameshajua ukweli.Sisi hatuko hivyo,tukisikia au kuona habari mpya kama hizi kitu cha kwanza kabisa tunakimbilia kupinga badala ya kudadisi.
Mimi nilitegemea mtu atakapo sikia habari kama hii ataiona kuwa ni habari nyeti na njema hivyo ataitilia mkazo kuifuatilia mpaka mwisho maana HIV/AIDS kabla hatujajua ukweli wake ilisumbua sana vichwa na watu hawakuwa huru kabisa,sasa habari mpya kama hii ingetakiwa iwastue watu na watu waanze kuifutilia kwa ukaribu.Sisi weusi hatuko hivyo.
 
Mkuu umenifurahisha sana.Unajua sisi weusi tuna matatizo sana,hatupendi kushughulisha ubongo wetu kabisa.Wenzetu wazungu walio wengi walishapata habari hizi muda mrefu na kwa kuwa ni wafuatiliaji ndio maana si rahisi kuona mzungu anahofu ya HIV,wengi wameshajua ukweli.Sisi hatuko hivyo,tukisikia au kuona habari mpya kama hizi kitu cha kwanza kabisa tunakimbilia kupinga badala ya kudadisi.
Mimi nilitegemea mtu atakapo sikia habari kama hii ataiona kuwa ni habari nyeti na njema hivyo ataitilia mkazo kuifuatilia mpaka mwisho maana HIV/AIDS kabla hatujajua ukweli wake ilisumbua sana vichwa na watu hawakuwa huru kabisa,sasa habari mpya kama hii ingetakiwa iwastue watu na watu waanze kuifutilia kwa ukaribu.Sisi weusi hatuko hivyo.

Kwa hiyo mkuu unachotaka kusema ni kwamba HIV/AIDS ni ugonjwa wa kichwani? kwa maana kwamba kwa akili zako za kibinadamu unaweza kuu control kwa kunywa maji safi na salama, kulala usingizi mzuri, kula vizuri vyakula vyenye afya? hii inataka ifanane na kitabu kimoja kinaitwa mind over medicine...sasa mkuu unaelezeaje swala la kuona mjamzito anaambukizwa virusi na pia mtoto anazaliwa na virusi?
 
Mkuu Deception pongez kwa kaz kubwa unayoifanya ila response ya watu inakuwa ndogo na nimejaribu kufatilia post zako nikagundua lugha unayotumia ni ngumu hasa pale unapoweka kisw-engl kwan weng english ni barrier kwao hivyo hubak njia panda hapa ningependa kukushaur kwa kuwa unafanya hiv ili kuiokoa jamii ya watz weng wasio na elimu anzisha uzi then hakikisha kila sms unaitoa kwa kiswahil utawasaidia wengi nadhan ndo maana weng hawafuat link unazoweka kwa kuwa lugha ni kikwazo sio kupenda kwao pia niliwah kukuuliza kama mtu katumia Arvs kwa muda na meshagundua madhara yake nitawezaje kumsaidia kwan sio kitendo cha kibinadam kumuona mtu anajichimbia kabur hlf nikakaa kimya kama kuna njia mbadala iweke wazi

Mkuu tunafuatilia ila lugha yakidaktari/kifamasia ndio ngumu ila si kizungu.
Deception na mwenzio,ni waombe mtupe ukweli ni upi na uongo ni upi? Na njia ipi ni bora waathirika wafuate.
Dadavueni vzr kwa manufaa ya wote kama afanyavyo@Mzizimkavu
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo mkuu unachotaka kusema ni kwamba HIV/AIDS ni ugonjwa wa kichwani? kwa maana kwamba kwa akili zako za kibinadamu unaweza kuu control kwa kunywa maji safi na salama, kulala usingizi mzuri, kula vizuri vyakula vyenye afya? hii inataka ifanane na kitabu kimoja kinaitwa mind over medicine...sasa mkuu unaelezeaje swala la kuona mjamzito anaambukizwa virusi na pia mtoto anazaliwa na virusi?

Mbona hujauliza pia kuhusu mama mjamzito aliyeambukizwa na anazaa mtoto ambaye hana virusi?,au mbona hujauliza kwamba mwanamme aliye na virusi anampa mimba mwanamke lakini mwanamke hapati virusi?Au mbona hujauliza wanandoa wanaishi pamoja miaka mingi na wanafanya mapenzi bila kutumia kinga lakini mmoja ana virusi ilihali mwingine hana virusi?
Ndugu yangu kutokana na maswali uliyouliza inaonesha kwamba bado una safari ndefu sana kuelekea kujua ukweli huu.Kwa bahati mbaya sidhani kama ulishawahi kusoma hata post moja niliyotuma humu JF kuhusu suala hili.Lakini si vibaya,niko hapa ili kubadilishana elimu na watu kama ninyi.Kwanza nashauri upitie post zangu kama utapata muda.Pili naomba umsikilize kwa makini sana huyu mgunduzi wa HIV kwenye link hapo chini.Narudia,msikilize kwa MAKINI,usi by-pass chochote atakachozungumza,sikiliza kwa makini.Kama una swali niulize.Kumbuka huyu ndiye mgunduzi wa HIV.

https://www.youtube.com/watch?v=4fIS6h3QCu4
 
Back
Top Bottom