Dawa ya kuzuia Mahindi yasioze!

Dawa ya kuzuia Mahindi yasioze!

Kama ni mengi na ni ya biashara vidoge ndo suluhisho bei ni za kawaida 30,000 gunia mia miezi hadi minne na haina usumbufu kwani unaweka vidoge kwenye staker unafuka na turubai hapo hata paka akikatiza anakufa lakini mifuko ni ghari Sana

Mkuu tupe jina la hvyo vidonge na umesema haviwekwi ndani ya mifuko unaweviweka kwenye stacker sindio yaani akti ya mfuko na mfuko au
 
Mkuu tupe jina la hvyo vidonge na umesema haviwekwi ndani ya mifuko unaweviweka kwenye stacker sindio yaani akti ya mfuko na mfuko au
Ukienda duka la pembejeo ukiwauliza tu unavipata....viko poa
 
Kwa haya madawa inabidi kula ugali kwa tahadhari sana, baada ya miaka kadhaa lazima watu waumwe magonjwa ya ajabu ajabu sana
 
Au yakoboe tu hapo utakuwa umepona
Ila kwa Kule kwetu moshi tunawekaga mahindi kwenye mapipa ya chuma miaka 500000 nenda ulaya rudi indi liko mukide

Mpe anae kupa
Unayopicha ya hayo mapipa na ni bei gani ?!
 
7c51e98647b14fcd863bd5b5cc964ab5.jpg


brain is the beautiful part of the body.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom