Dawa ya maajabu ya kupendwa na wanawake milele, ha haaa

Vipi na dawa ya kuwapenda chichiem milele ni ipi..?
kuongoza awamu 5 si mchezo..!
Dawa ni moja tu,"UJINGA".Control Elimu.Wachache wapate Elimu ili uendelee kupata kura nyingi za wajinga.
 
Hiyo ni mara chache sana ukilinganisha na wake za mafukara wanaoliwa na wenye Pesa.
 
Mie huwa nampenda mwanamme kama alivyo hata asiponipa pesa! Mahaba yake, figure yake, lugha yake, utundu wake, kujali kwake hata kama sio pesa, anavyo respond na mengineyo mengi. Mie NAPENDA KUPENDWA
Hujabahatika kukutana na wenye pesa,hao uliokutana nao wanajiita wanapesa kumbe ana kagari kakutembelea na hela ya tubia.Pesa unapelekwa shopping Dubai,unapewa gari ya mil 200 huchomoi.
 
Unaweza kua na mwanaume mwenye pesa ila usipomwona siku hata atume dollar ngapi haisadii...
Mapenzi haya yametukamata wengine lol
 
Kuna jamaa alikua anakula papuch sana kisa! Alivaa shanga moja kiunoni,basi akila demu na demu akiona ile shanga anakwenda wahadithia wenzie,na wenzie wanajitongozesha ili wakaone shanga,basi alikula sana papuch na kukonga nyoyo.
Duu hii concept sijaielewa yaani ule papuchi kwa kuvaa shanga ?
 
Mie huwa nampenda mwanamme kama alivyo hata asiponipa pesa! Mahaba yake, figure yake, lugha yake, utundu wake, kujali kwake hata kama sio pesa, anavyo respond na mengineyo mengi. Mie NAPENDA KUPENDWA
Eeeh Figure hapa ulimaanisha nini jamani ? Ina maana na upare wangu na huu ufupi sifai ?
 
Hii thread wameview wengi hadi mm, ili nione hiyo dawa maana hii ni nchi ya viwanda
 
So kama dawa ya mwanaume the kupendwa na wanawake ni pesa.. Na dawa ya kupendwa Mwanamke ni nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…