duh aisee pole binafsi sifahamu za hospital ila yakimbana sana twanga kitunguu swaumu umpake miguuni kwenye nyayo
I wudnt advise centrizene he is too young..naomba fanya hivi chemsha maji weka kwenye beseni then jifunike na kanga na mwanao mvute ule mvuke akitoka hapo kapona kabisaa
Acha hayo maelezo yote uliyoelekezwa kama bado haujafanya kitu chochote! Tafuta limao kamulia tone tatu mpaka tano kwenye pua after km lisaa utakuwa mzima kabisa! Ila ninzuri ukitumia muda wa kulala maana yanakuwa makali zaidi usiku. Inauma ila sito sana but it kusaidia sana.
Nenda Maduka Ya Dawa Asili Ulizia Chapa Simba Ni Ya Kupaka Ipo Kwenye Kichupa Kidogo From China
ha ha ha ha...Tumia maji ya chumvi weka puani ikishindwa hiyo tumia ugoro