Dawa ya mafua ya kuku

Dawa ya mafua ya kuku

kwakua n kienyeji jitahidi uwe unawapa dawa za kienyeji mara kwa mara (kwa kuwachanganyia kwenye maji au chakula) kwani huwa inasaidia sana kwa magonjwa nyemelezi na inasaidia kuepusha vifo vya mapema wapatavyo magonjwa
Dawa Kama zipi? Unaweza kuwapa hata Kama hawajaanza dalili?
 
Wakuu Asanteni Sana,mafua ya kuku yanmeisha,nasubiri siku 15 ziishe nianze kila mayai na nyama,
Ushauri wenu umenisaidia sana
 
Dawa ni tatumoja naikubali sana na huwa natumia majani ya mpapai hapo nmemaliza magonja sio sana nasumbuliwa na paka tu lakin kufa kwa magonja nmepunguza kwa kutumia hzo dawa
 
Nafahamu kuna bird flu (coryza), pia kusinzia bird cold tumia antibiotics kama tetracycline, amoxicillin kwenye maji kagua mazingira wanayolala kuku wako yasiwe na unyevu(high humidity) watapona baada ya mwezi hivi au zaidi kama ni vifaranga wanaweza hata kufa kama hawatokula vizuri.

Kwa magonjwa mengi ya kuku huwa wanapona lakini bado wanakuwa carriers(yaani wanabeba ugonjwa) kwa hiyo kama una kuku wengi ni vyema zaidi kuwatenga waliohudhurika kwa kuwaua maana huwa wanadumaa baada ya kupata ugonjwa na kama ni layers hawatokupa idadi nzuri ya mayai.
Amoxicllin unawapaje
 
Back
Top Bottom