Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watayanywa tena wakifurahia mkuuMaji wataeeza kuyanywa kweli,dawa murua
Alovera inadunda siku izWape alovera wanywe
Alovera ni kwa ajili ya mdondo mafua ni pilipili ya kutosha mixer tangawizi na kitunguu saumu pamoja na unga wa mkaa hata kama kuku yuko hoi anapata nafuu kubwa sanaAlovera inadunda siku iz
Dawa Kama zipi? Unaweza kuwapa hata Kama hawajaanza dalili?kwakua n kienyeji jitahidi uwe unawapa dawa za kienyeji mara kwa mara (kwa kuwachanganyia kwenye maji au chakula) kwani huwa inasaidia sana kwa magonjwa nyemelezi na inasaidia kuepusha vifo vya mapema wapatavyo magonjwa
Nashukuru piaAsante boss
Umetumia dawa gani?Wakuu Asanteni Sana,mafua ya kuku yanmeisha,nasubiri siku 15 ziishe nianze kila mayai na nyama,
Ushauri wenu umenisaidia sana
Mrejesho mkuu muhimu na hii tylodox ulinunua Bei gani?Nilitumia tylodox 20%,
Kwa siku tano
Amoxicllin unawapajeNafahamu kuna bird flu (coryza), pia kusinzia bird cold tumia antibiotics kama tetracycline, amoxicillin kwenye maji kagua mazingira wanayolala kuku wako yasiwe na unyevu(high humidity) watapona baada ya mwezi hivi au zaidi kama ni vifaranga wanaweza hata kufa kama hawatokula vizuri.
Kwa magonjwa mengi ya kuku huwa wanapona lakini bado wanakuwa carriers(yaani wanabeba ugonjwa) kwa hiyo kama una kuku wengi ni vyema zaidi kuwatenga waliohudhurika kwa kuwaua maana huwa wanadumaa baada ya kupata ugonjwa na kama ni layers hawatokupa idadi nzuri ya mayai.
Wangu wanamafua na wanakoloma sana je dawa gani nzuri.ila niwakienyejiTydox
Trimafarm
Mimi ni mfugaji nend kanunue hizi dawa duka la madawa
Wape hizo nilizoandika kwa siku tano. Hakikisha maji ni ya kisima au mvua. .Wangu wanamafua na wanakoloma sana je dawa gani nzuri.ila niwakienyeji
Sawa ila huku nilipo maji ya kisima niyachumvi balaa. Sijui yatafaaWape hizo nilizoandika kwa siku tano. Hakikisha maji ni ya kisima au mvua. .