Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
umasikini wako tuHivi wataalam wa pharmacy hamuwezi jamani kutufanyia kitu kwenye hii dawa? nakunywa tu nisife, harufu mbaya, ladha mbaya. Kila nikiwa nataka kunywa nahisi kutapika.
Hebu wataalamu njooni hapa kama kuna namna ya kufanya kwenye hii dawa mtusaidie!