Dawa ya maumivu ya Magoti baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa maafisa wa polisi

Dawa ya maumivu ya Magoti baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa maafisa wa polisi

exalioth

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
2,263
Reaction score
3,897
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina

Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali

najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani

shukuran

exalioth
jf_geita
 
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina

Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali

najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani

shukuran

exalioth
jf_geita
Mkuu, ungeambatanisha PF3 ili tukushauri dawa au cha kufanya.
 
Ila polisi bhna kuna jamaa alipata ulemavu kwa sababu hiyo hiyo alipigwa virungu mpk mguu umepinda
 
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina

Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali

najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani

shukuran

exalioth
jf_geita
Tafuta Diclopar ya tube au Ant inlammatory yyte ya Tube itakusaidia.

Usipende kukaa na tatizo muda mrefu hivyo ( miezi 2) huenda ata tatizo likawa sugu

# Haichukui nafasi ya Daktari.... maumivu yakizidi nenda hospitalini
 
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina

Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali

najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani

shukuran

exalioth
jf_geita
Uliwakosea nini mpaka wakakutengua miguu?
 
Tafuta Diclopar ya tube au Ant inlammatory yyte ya Tube itakusaidia.

Usipende kukaa na tatizo muda mrefu hivyo ( miezi 2) huenda ata tatizo likawa sugu

# Haichukui nafasi ya Daktari.... maumivu yakizidi nenda hospitalini
Asante
 
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina

Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali

najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani

shukuran

exalioth
jf_geita
kujiepusha na ukaidi katika kutii sheria bila shuruti ndiyo tiba pekee na muafaka zaidi ya nyingine zozote.

vinginevyo kua raia mwema na kujitenga na magenge ya kihalifu na jeuri hasa ya kisiasa, nayo ni njia muhimu mno ya pili ya kuepukana na virungu vya polisi ambayo ni dawa ya kuwadhoofisha makaidi.

ni kweli kabisaa kwamba virungu vya leo, ni hatari zaidi uzeeni. ni vizur kuchukua tahadhari 🐒
 
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina

Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali

najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani

shukuran

exalioth
jf_geita
polisi anakupigaje mkuu...unapigwa na mandazi!!!
 
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina

Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali

najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani

shukuran

exalioth
jf_geita
Pole sana.

Ni muhimu sana ukajipanga kwenda hospital baadae kwa ajili ya uchunguzi na vipimo zaidi. Maumivu miezi miwili baada ya tukio siyo ishara nzuri, unahitaji kuonana na daktari.
Kila la kheri.
 
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina

Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali

najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani

shukuran

exalioth
jf_geita

Tuwe tuna uliza maswali haya :-
Je, ulimpiga polisi?
Jibu : Hapana
Je, uliiba mali ya kituo cha polisi.
Jibu : Hapana
Je, uliiba kambini kwenye nyumba za polisi.
Jibu :Hapa
Uligoma kukamatwa ?
Jibu :Hapana
Je, Ulimtukana mkuu wa kituo?
Jibu :Hapana
Je, ulifanya uko kituoni?
Jibu: Hapana
Je,ulijaribu kupora polisi bunduki ?
Jibu :Hapana.
Je,ulikua umebeba silaha au dhana inayoweza kumjeruhi polisi au kuhatarisha maisha yake?
Jibu:Hapana.

Sasa ulifanyaje?
Jibu : Ninatuhumiwa kununua simu ya wizi ya Msakatonge.😱😱😱😱😱😱

Sasa polisi ina muuma nini kwa kwa kiwango hicho kuliko hata Mwenye simu, mpaka kuwa na hasira na jazba kiasi hicho?
Au kuna rushwa imetolewa na Mwenye simu kuwa mpige mpaka aseme atalipa simu nyingine.
Vinginevyo kwa nini mtu apigwe na polisi wakati mwenye mali hakurusha hata matusi kwa mtuhumiwa.
Huku ni kujichukulia sheria mikononi .
Kazi ya polisi ni kuchunguza na kupeleka huko mahakamani.

Ndio maana hata Dr. Samia aliwahi kulilalamikia jeshi la polisi kwa kutosimamia haki za watu sawa sawa .Japo baadae walifurahishwa pale walipoweza kuwadhibiti wale mahulkutabu .
Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina

Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali

najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani

shukuran

exalioth
jf_geita
 
kujiepusha na ukaidi katika kutii sheria bila shuruti ndiyo tiba pekee na muafaka zaidi ya nyingine zozote.

vinginevyo kua raia mwema na kujitenga na magenge ya kihalifu na jeuri hasa ya kisiasa, nayo ni njia muhimu mno ya pili ya kuepukana na virungu vya polisi ambayo ni dawa ya kuwadhoofisha makaidi.

ni kweli kabisaa kwamba virungu vya leo, ni hatari zaidi uzeeni. ni vizur kuchukua tahadhari 🐒
Ukiwa kada uliyekunywa maji ya benders mithiki ya akina Kinginge N. Mwiru au jamaa za Siri za nchi ndio unaweza kusalimika na virungu, kama sivyo tema mate juu mara 3, na omba yasikukute.
Jamaa aende kwa Dr. mbobezi wa mifupa, hasa clinic binafsi
 
Ukiwa kada uliyekunywa maji ya benders mithiki ya akina Kinginge N. Mwiru au jamaa za Siri za nchi ndio unaweza kusalimika na virungu, kama sivyo tema mate juu mara 3, na omba yasikukute.
Jamaa aende kwa Dr. mbobezi wa mifupa, hasa clinic binafsi
raia mwema asiejihusisha na magenge ya kihalifu na ukaidi katika kutii sheria bila shuruti yanakukutaje hayo kwa mfano gentleman?

acheni kiburi ndrugo zango 🐒
 
raia mwema asiejihusisha na magenge ya kihalifu na ukaidi katika kutii sheria bila shuruti yanakukutaje hayo kwa mfano gentleman?

acheni kiburi ndrugo zango 🐒
Wewe una uhakika kila anayepigwa na polisi ni mgaidi na muhalifu!?
Ni kesi ngapi zilikuja kufufuliwa na kugundulika waliohukumiwa hawana makosa!?
Ni washukiwa wangapi wamekamatwa kimakosa na baadae kuachiwa huru kuwa hawana hatia!??
Aisee mkuu akili zinakutoka vibaya ukiendekeza uchawa wa CCM.
 
Back
Top Bottom