Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes,Wewe una uhakika kila anayepigwa na polisi ni mgaidi na muhalifu!?
Ni kesi ngapi zilikuja kufufuliwa na kugundulika waliohukumiwa hawana makosa!?
Ni washukiwa wangapi wamekamatwa kimakosa na baadae kuachiwa huru kuwa hawana hatia!??
Aisee mkuu akili zinakutoka vibaya ukiendekeza uchawa wa CCM.
KoYesKichwKichwani umedata mkuu.Wapo wengi wamedhulumiwa tena kwa kusingiziwa na hao polisi.Sema wacha nikupuuze maana hakuna kitu utamuambia chawa na akakuelewa.
ni mkaidi, jeuri na mkiuka sheria pekea ndio ambao polisi hutumia virungu kudhoofisha na kumdhibiti na hatimae kumuwajibisha kwa mujibu wa sheria na si vinginevyo 🐒
Mkuu, inavyoonekana wewe ni njangu, na ni tabia yako kutandika watu virungu. Muwege na huruma, mtajibu nini kwa Mungu Baba?kujiepusha na ukaidi katika kutii sheria bila shuruti ndiyo tiba pekee na muafaka zaidi ya nyingine zozote.
vinginevyo kua raia mwema na kujitenga na magenge ya kihalifu na jeuri hasa ya kisiasa, nayo ni njia muhimu mno ya pili ya kuepukana na virungu vya polisi ambayo ni dawa ya kuwadhoofisha makaidi.
ni kweli kabisaa kwamba virungu vya leo, ni hatari zaidi uzeeni. ni vizur kuchukua tahadhari 🐒
endelea kua kaidi katika kutii sheria bila shuruti na utarekebishwa kwa virungu na utakaa sawa tu gentleman 🐒
Nenda na uchawa wako ila fika nadhani hata wewe unajishangaa unachoongea.E uendelea kua kaidi katika kutii sheria bila shuruti na utarekebishwa kwa virungu na utakaa sawa tu gentleman 🐒
Gentleman,Mkuu, inavyoonekana wewe ni njangu, na ni tabia yako kutandika watu virungu. Muwege na huruma, mtajibu nini kwa Mungu Baba?
Sure,Nenda na uchawa wako ila fika nadhani hata wewe unajishangaa unachoongea.
Ndo maanaraia mwema asiejihusisha na magenge ya kihalifu na ukaidi katika kutii sheria bila shuruti yanakukutaje hayo kwa mfano gentleman?
acheni kiburi ndrugo zango
mnakufaga vbaya uzeeni hata kibandaa Cha kujistir hamna na vijumba vyenu vya mabati kuanzia juu mpaka chini kama tanuru,na mkstaafu wenzenu hawataki kuwaona mnakuja Kwa raia mliokua mnawapiga makofi wawape Dili za kitaa na wenyew wanawakataa baadae mnahis dunia kuwatenga mnakufa wenyew au kujinyonga,mnaacha watot wenu hawana mbele wala nyuma ,,,karasti na nusu ,,mnao jionaga kama vile dunia ni yenukujiepusha na ukaidi katika kutii sheria bila shuruti ndiyo tiba pekee na muafaka zaidi ya nyingine zozote.
vinginevyo kua raia mwema na kujitenga na magenge ya kihalifu na jeuri hasa ya kisiasa, nayo ni njia muhimu mno ya pili ya kuepukana na virungu vya polisi ambayo ni dawa ya kuwadhoofisha makaidi.
ni kweli kabisaa kwamba virungu vya leo, ni hatari zaidi uzeeni. ni vizur kuchukua tahadhari 🐒
Pole sana. Kafanyiwe uchunguzi hospitalini.Kichwa cha habari kinajieleza aomba msaada mnielekeze dawa ya magoti kuna wakati yanakua yanauma japo kwa mbali rakini nachukulia ni tatizo kwasababu zamani sikua na shida hiyo, sitaki kuhangaika na vipimo wakati najua chanzo cha tatizo, pia na pesa ya kipimo chenyewe sina
Nilikamatwa na maafsa polisi nilichezea rungu za kwenye magoti kwa wanaojua ile kotapini ya baiskel inavyotolewa basi ndo ilivyokua kwenye magoti yangu mpaka nilihisi kile kigololi cha kwenye goti kimesambaa kama uji, baada ya hapo nilipona kwasasa ni miez miwili imepita maumivu nayaskia kwa mbali
najihisi uzeeni litakua tatizo litanisumbua hivyo naomba mnielekeze dawa nitumie ili niendelee kua vzr kama zamani
shukuran
exalioth
jf_geita
Imeandikwa...O
Ndo maana
mnakufaga vbaya uzeeni hata kibandaa Cha kujistir hamna na vijumba vyenu vya mabati kuanzia juu mpaka chini kama tanuru,na mkstaafu wenzenu hawataki kuwaona mnakuja Kwa raia mliokua mnawapiga makofi wawape Dili za kitaa na wenyew wanawakataa baadae mnahis dunia kuwatenga mnakufa wenyew au kujinyonga,mnaacha watot wenu hawana mbele wala nyuma ,,,karasti na nusu ,,mnao jionaga kama vile dunia ni yenu
Kwamba ule msemo 'wanaokwenda jela sio wote wanahatia' huuamini. Sijui mdau alikosea nn ila maoni yako yamevuka mno.raia mwema asiejihusisha na magenge ya kihalifu na ukaidi katika kutii sheria bila shuruti yanakukutaje hayo kwa mfano gentleman?
acheni kiburi ndrugo zango 🐒
kutoka kwenye virungu hadi jela dah 🤣Kwamba ule msemo 'wanaokwenda jela sio wote wanahatia' huuamini. Sijui mdau alikosea nn ila maoni yako yamevuka mno.
Huna hakili mzee..Yes,
ni mkaidi, jeuri na mkiuka sheria pekea ndio ambao polisi hutumia virungu kudhoofisha na kumdhibiti na hatimae kumuwajibisha kwa mujibu wa sheria na si vinginevyo [emoji205]
muerevu una mihemko si mchezo?Huna hakili mzee..
kesi hii imenikuta nipo nyumbani tena nikiwa na wageni kuna vurugu zilitokea huko sokoni watu wakafa wawili katika kutuliza vurugu polisi walikuja kuuteka mji mzima watu zaidi ya mia8
tulikamatwa hata kama ukutwe ndani umelala yaani kile kitendo tu cha kukutoa nyumbani na kukupandisha kwenye gari lao rungu utakazopigwa zaidi ya ishirini na hapo hupigwi na mmoja

