Dawa ya Mba inahitajika

Dawa ya Mba inahitajika

eRRy

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2009
Posts
1,126
Reaction score
206
Hello JF, kuna rafiki yangu ana mba mwilini, kadai ameshatumia dawA mbalimbali bila mafanikio. AfAnyeje?
 
katumia dawa gani na alikuwa akitoa wapi? kama alikuwa anajifanyia prescription mwenyewe inabidi aende hospitali.
 
thanx guyz! MESSAGE RECEIVED!
 
Jieleze kijana, mbona uko juu juu kama mkungu wa ndizi.
 
Back
Top Bottom