Dawa Ya Mchungaji Ambilikile Mwasapile a.k.a Babu. Je Ni Ulaghai?

Dawa Ya Mchungaji Ambilikile Mwasapile a.k.a Babu. Je Ni Ulaghai?

Wana JF,
Nakumbuka tuliambiwa kuna wa2 walijitolea kwenda Lolly kwa udhamini wa wizara ya afya ili
kupata ukweli wa uponyaji kama reseach je wameishia wapi ?.

Report wametoa na wamesema dawa ya babu inatibu ipo humu JF lakini hawa vizuka wanaofaidika na dawa za USA wanapiga kelele karibuni sasa utajiri wao utayeyuka.
 
Janga la taifa ni kuwa na kiongozi kama JK ambaye anaomgozwa na mafisadi kuiba pesa za walipa kodi na sio Babu wa Samunge. Wa kupimwa akili ni wewe unakubali vipi kuongizwa na mafisadi?


Sasa babu aamriwe kusimamishwa na nani mafisadi?



Akamatwe na nani? mafisadi wanaoiba kila kukicha? Au wale wanaopata faida na dawa za ukimwi kutoka USA? Walalamishi wengi ni wenye ukimwi na wanatajirika na dawa kutoka USA kwa njia za kitapeli.
Babu tapeli muuwaji.
 
Jamani Babu anatibu na asiyekuwa na Imani akae hivyo hivyo
 
Mengi kuhusu babu yanasemwa,yatasemwa.....but kila kukicha,watu wa mataifa yote na kada mbalimba wanazidi kumiminika kwa babu...
Na kwa vile Serikali imeridhia!!,,,,,,,so what do you expect???? We baki tu imani yako ya kutokwenda kwa babu,,,,,ata ivo is because huna matatizo!! But your friends,relatives and few to mention are attending to Samunge daily!

Maelezo aliyotoa jamaa ni sahihi,lazima tufikiri kabla ya kutenda,kisha tuthibitishe ndipo tuyafikishe,watu wengi wanapukutika baada ya kutoka Lolly,jiran zangu 6 hawapo tena, na 1tumemsindikiza jana kwenda Moshi ana wik ya 2 toka arud toka Kwa kikongwe!Haya WENYE IMANI ZILIZOKITHIRI NENDENI. WAJINGA NJOO! WEREVU TUPATE!
 
Dawa yanyewe ipatiikane tanzania kwa Mbilikimo huyu! SON OF DAVID HAVE MERCY. Mimi nilisema hata kwa AK 47 uniwekee shingoni niende kwa babu siendi ng'o wengi waliona kama sisi ni vichaa. Wote walioenda hata ukimuuliza anashika biblia au Msahafu lini atakwambia hagusi kabisa labda kuwe sikuu.

Sasa wewe kiumbe wa style hii muujiza unatuoa wapi? Huyu babu kifo chake kitakuwa kiibaya, kudanganya umma kwa kutumia jina la mwenyezi Mungu kweli atakiona cha moto though siyo leo hii au kesho.

Wanaoabudu dawa ya babu wote ni wazima hakuna mgonjwa hata mmoja. Na waliokufa ni wale waliokuwa wagonjwa. Mungu tutie nguvu tunamalizika.
 
Mengi kuhusu babu yanasemwa,yatasemwa.....but kila kukicha,watu wa mataifa yote na kada mbalimba wanazidi kumiminika kwa babu...
Na kwa vile Serikali imeridhia!!,,,,,,,so what do you expect???? We baki tu imani yako ya kutokwenda kwa babu,,,,,ata ivo is because huna matatizo!! But your friends,relatives and few to mention are attending to Samunge daily!

Maelezo aliyotoa jamaa ni sahihi,lazima tufikiri kabla ya kutenda,kisha tuthibitishe ndipo tuyafikishe,watu wengi wanapukutika baada ya kutoka Lolly,jiran zangu 6 hawapo tena, na 1tumemsindikiza jana kwenda Moshi ana wik ya 2 toka arud toka Kwa kikongwe!Haya WENYE IMANI ZILIZOKITHIRI NENDENI. WAJINGA NJOO! WEREVU TUPATE!
 
Dawa yanyewe ipatiikane tanzania kwa Mbilikimo huyu! SON OF DAVID HAVE MERCY. Mimi nilisema hata kwa AK 47 uniwekee shingoni niende kwa babu siendi ng'o wengi waliona kama sisi ni vichaa. Wote walioenda hata ukimuuliza anashika biblia au Msahafu lini atakwambia hagusi kabisa labda kuwe sikuu.

Sasa wewe kiumbe wa style hii muujiza unatuoa wapi? Huyu babu kifo chake kitakuwa kiibaya, kudanganya umma kwa kutumia jina la mwenyezi Mungu kweli atakiona cha moto though siyo leo hii au kesho.

Wanaoabudu dawa ya babu wote ni wazima hakuna mgonjwa hata mmoja. Na waliokufa ni wale waliokuwa wagonjwa. Mungu tutie nguvu tunamalizika.

You are real great thinker! WAZIMA WOTE NDO WALOPONA! WAGONJWA WA UKWELI WANAKUFA MARA WANAPOKATIKIZA KUTUMIA DOZI YA DAWA ZA MAGONJWA YAO!WAKITEGEMEA UZUSHI WA KIZEE HUYO NDIO MKOMBOZI WA UHAI!
 
Mengi kuhusu babu yanasemwa,yatasemwa.....but kila kukicha,watu wa mataifa yote na kada mbalimba wanazidi kumiminika kwa babu...
Na kwa vile Serikali imeridhia!!,,,,,,,so what do you expect???? We baki tu imani yako ya kutokwenda kwa babu,,,,,ata ivo is because huna matatizo!! But your friends,relatives and few to mention are attending to Samunge daily!

Maelezo aliyotoa jamaa ni sahihi,lazima tufikiri kabla ya kutenda,kisha tuthibitishe ndipo tuyafikishe,watu wengi wanapukutika baada ya kutoka Lolly,jiran zangu 6 hawapo tena, na 1tumemsindikiza jana kwenda Moshi ana wik ya 2 toka arud toka Kwa kikongwe!Haya WENYE IMANI ZILIZOKITHIRI NENDENI. WAJINGA NJOO! WEREVU TUPATE!
 
Dawa ambayo babu anadai kuoteshwa, ni dawa iliyokuwa inatumika kabla hata huyo babu hajazaliwa, na ameenda huko akakuta wenyeji wanaitumia, maandiko ya tafiti yanaonyesha kuwa mti huo una medicinal actions kwa magonjwa mbalimbali baadhi ni yale yaliyo ktk orodha ya babu, ila ieleweke kuwa dawa hiyo HAIPONYI MAGONJWA husika, hilo ni angalizo ambalo babu na waumini wake hawataki kulisikia.
 
Na bado jinsi mafisadi wanavyowakamua walipa kodi ndivyo jinsi babu atakavyoendelea kupata wateja, wale wanaopokea mpunga kutoka kwa wamarekani imekula kwao.
 
Back
Top Bottom