Kichwa Ze Don
Senior Member
- Jun 7, 2017
- 198
- 321
UnaitumiajeeTwigaPrid yenye imidacloprid, utanishukuru
UnatumiajeeNgao, ile dawa ya mbu.
unachanganya na maji, dosage ipo kwenye kichupa imeandikwaUnaitumiajee
Kwa dawa hiyo mchwa wanahama kabisa mkuuMkuu,Nenda Duka la pembejeo za kilimo na mifugo,omba Sumu inayoitwa Duduba450EC, Changanya 40mls kwa 20 lts of water,Piga Mara tatu,Hakika utamaliza shida,binafsi huwa naziuzaView attachment 2381425
Imidacloprid haifanyi vizuri kwa mchwaNenda MADUKA ya PEMBEJEO ulizia HOTSHOT inayo imidaclopd 700g
Naipata wapi twigaprid boss?TwigaPrid yenye imidacloprid, utanishukuru