Kichwa Ze Don
Senior Member
- Jun 7, 2017
- 198
- 321
Rejea kichwa habari hapo juu,
Napenda kujua ni dawa ipi nzuri ambayo naweza kutumia maana na site yangu kuna chumba kimoja kinasumbuliwa na mchwa nichatumia ma oil mixture petrol nikachanganya na nikapiga rough floo lakini naona wameanza upya, je ni dawa ipi nzuri naweza kuitumia kumaliza tatizo hili?
Napenda kujua ni dawa ipi nzuri ambayo naweza kutumia maana na site yangu kuna chumba kimoja kinasumbuliwa na mchwa nichatumia ma oil mixture petrol nikachanganya na nikapiga rough floo lakini naona wameanza upya, je ni dawa ipi nzuri naweza kuitumia kumaliza tatizo hili?