dawa ya mchwa tafadhali

Finder boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
608
Reaction score
150
jamani mchwa wamemaliza milango na madirisha yote ya nyumba yangu na sasa wamevamia kuta za nyumba kwa fujo. Naombeni msaada wenu kwa anayefahamu dawa ya kuangamiza mchwa au nini cha kufanya ili kuwaua na kuwaondoa kabisa mchwa hawa waharibifu?
 
mkuu dawa za mchwa zipo mingi nenda kwa maduka za dawa za kilimo, vilevile kama uko karibu na sehemu ambazo wachina wanajenga wanakuwa na dawa mchina hiyo ni hatari ukiweka huji kuona chembe ya mchwa bt ni hatar km uko na watoto inabidi uhame hata cku 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…