Dawa ya meno ipi nzuri kuondoa ukungu na weusi?

faiza zuwer

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
400
Reaction score
169
Jamani ni dawa gan ya meno nikitumia kwanza itaondoa ukungu ule mweusi unaokaa kweny meno kam vile ya mvuta sigara dawa zipo nyingi lakini nahitaji kujua dawa moja tu ntajie kwa jina ambayo nikisugulia meno yangu ukungu ule utatoweka dk wa meno msaada plz
 
alovera- jumla ni elfu 11, rejareja ni elfu 13-16

ila mimi sio mfanya biashara, nenda duka la dawa
 
Mimi nataka dawa ya ganzi ya meno
Hata nikila nanasi kipande au embe bichi ndani ya dak 2 ganzi tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…