Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Wadau mimi ni mshkaji fulani wa kibongo mweusi. Sio black. Ni mweusi, kama hujui tofauti mwangalie aliyekuwa Rais wa USA Barack Obama ile rangi yake. Walimwita Black.
So naposema mimi mweusi uelewa mweusi huku kwetu anakuaje. Nina mahitaji makubwa mawili naomba mnisaidie.
1. Napenda sana meno meupe kama unga uliokobolewa, meupe peeee. Je nitumie dawa gani ya meno ili kung'arisha.
Ukiacha habari za kwenda Hosp. Na pia meno yangu msidhani ni ya kichaga au Singida au machalii, hapana. Sivuti sigara wala sinywi kahawa.
2. Napenda niwe na ufizi mweusi. Huwa nikimcheck mother akicheka napenda aendelee kucheka. Amebarikiwa kuwa na ufizi mweusi unamtoa sana. Nami nawezaje pata ufizi wa namna hiyo? Je kuna dawa?
Hayo mawili nikiyapata basi ntakuwa nimekamilisha mahitaji yangu yote maana mengine yote yametimiwa yamekosekana hayo mawili tu niridhike.
Ushauri mwingine nishapewa sana kuwa nibaki kama nilivyo n.k sijaujali. Wewe nipe ambao unaendana na matakwa yangu sio matakwa yako.
Nashukuru sana.
So naposema mimi mweusi uelewa mweusi huku kwetu anakuaje. Nina mahitaji makubwa mawili naomba mnisaidie.
1. Napenda sana meno meupe kama unga uliokobolewa, meupe peeee. Je nitumie dawa gani ya meno ili kung'arisha.
Ukiacha habari za kwenda Hosp. Na pia meno yangu msidhani ni ya kichaga au Singida au machalii, hapana. Sivuti sigara wala sinywi kahawa.
2. Napenda niwe na ufizi mweusi. Huwa nikimcheck mother akicheka napenda aendelee kucheka. Amebarikiwa kuwa na ufizi mweusi unamtoa sana. Nami nawezaje pata ufizi wa namna hiyo? Je kuna dawa?
Hayo mawili nikiyapata basi ntakuwa nimekamilisha mahitaji yangu yote maana mengine yote yametimiwa yamekosekana hayo mawili tu niridhike.
Ushauri mwingine nishapewa sana kuwa nibaki kama nilivyo n.k sijaujali. Wewe nipe ambao unaendana na matakwa yangu sio matakwa yako.
Nashukuru sana.