Dawa ya minyoo kwa mtoto

mdache

Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
21
Reaction score
1
Habari wana JF,

mtoto wangu ana mwaka mmoja sasa, tangu azaliwe sijawahi kumpa dawa ya minyoo, na kama mjuavyo watoto wa umri huu kila anachoona anataka aweke mdomon.

Je naweza kumpa dozi ya dawa ya minyoo hata kama hajaumwa?
 
mdache, Huyo ni mtoto, mpeleke hospitali apate vipimo na kutibiwa na sio kujinunulia dawa ovyo.
 
Last edited by a moderator:
Dada ulitaka umpe mtoto dawa ya minyoo baada ya kuzaliwa?? Au kwa muda gani baada ya kuzaliwa??!!

Kuna daktari mmoja aliwahi kuniambia si vizuri kumpa mtoto dawa ya minyoo katika umri kama huo. Yeye anaamini kwa umri huo mtoto yupo katika "Uangalizi" wa karibu wa mzazi/mlezi hivyo si rahisi kupata minyoo!!
 
Kwa sasa dawa nyingi(kama si zote) za minyoo zilizopo kwenye mzunguko,zinatolewa kwa mtoto wa miaka 2 na kuendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…