Dawa ya mke mkorofi


Usingizi mtamu sana. Afadhali huwa tunalala mda mrefu bila kujua ya duniani kwenu!
 
mke mdogo akiwa mkorofi kuliko mke mkubwa utafanyaje? wewe naee!
ushauri mzuri sana huo hasa kwa akina mama wababe,fasta unabadilisha dini then unaoa halafu yeye anakuwa mke wa pili,du!!! lazima asepe akitimua una rudi kwenye dini yako fasta ha ha ha ha ha ha!!!!!!!!! SAFI SANA
 
Wewe kama yamekushinda usidanganye watu, na ufikirie kama ni kweli unaogopa dini, itakufata tu, sababu sio mkeo anaekataa usioe mke wa pili ni dini, kwa hiyo ukidanganya unakuwa umejidanganya mwenyewe tu
 
kaka, hapo unakuwa umeingia choo cha kike! Kubadili dini tu tayari umesha TRIGGER bomu na ndugu+society. achilia mbali bomu la pili la KURUDI KUNDINI, Albadiri yako!

Mke mkorofi dawa yake ni kuishi nae kwa namna alivyo sababu watu hawana tabia zinazofanana. Cha maana ukorofi wa mkeo usiharibu watoto!!!! Na nina uhakika na ukorofi wote, watoto watakuwa na adabu tu.

Ishi nae kwa shida na raha, amen!
 
Hahahahahaaaahatwetweeee!!!!!!!? Kwa hiyo mke akaendelea na majukumu yote hata yale ya usiku?
 
hii wala sio technical devorce.......sana nsa utaishi kuoa wake kzaidi na zaid kama mtu ataamua kutumia mbinu yako hii
 
OMG! mkewe alikuwa amempania sana it seems!?:mimba::A S 103:😛ound:
 
Solution yake ni ngumu sana kuliko tatizo. Ni sawa na ukiulizwa 2+2 = ? Unajibu, 2+2 = 3176 x 6765- 21485638

Basically, the solution is extra extra harder than the problem.
 

Ajabu!

Kuna mwenzake mmoja alifanya mchezo kama huo, mwanzoni tulidhani amerogwa ila baada ya kusoma post yako nashawishika kuamini kwamba na yeye aliamua kufanya hivyo akijiona ni mjanja sana. Ni kweli alibadili dini na kuoa mke wa pili kwa ya kiislamu, mke mkubwa akaona ya nini malumbano akaishia zake.

Bi mdogo hakutaka kufanya mchezo fasta akafyatua watoto watatu mfululizo ile mwaka mimba mwaka mtoto, ukichanganya bi mkubwa alikua na mtoto mmoja basi wakawa wanne. Bi mdogo akaanza ukorofi na ni mkorofi kweli kweli mara tatu ya bimkubwa. Bwana anajuta anatamani bora angebaki na bi mkubwa.

Haya sasa hawezi kumuacha huyo akaoa mke wa tatu, kwani nae atataka kuzaa wakati watoto alionao tayari wanamtoa jasho, bi mkubwa aliamua bora mtoto wampleke boarding wasibanane matokeo yake bimdogo anataka na wale watoto wengine wote walipiwe ada kama anayomlipia mtoto wa bimkubwa, baba uwezo huo hana kabaki mwenye mawazo kila kukicha kwani kila kitu bimdogo ni mkorofi. Anatamani bora arudiane na bi mkubwa lakini bimkubwa hataki hata kumsikia, nani anataka kulea mitoto ya mtu tena mitoto imekukuta. Bora hata uliowakuta kwani unakua unajua kabisa mtarajiwa ana mtoto/watoto.

Angalizo:
Ukiona mke ana matatizo jaribu kumrekebisha kwa kumpa viadhabu vya hapa na pale hata kumrudisha kwao akajifunze kama inawezekana. Baada ya jitihada kubwa ikishindikana ndio uamue kuoa mke mwingine ila inabidi uwe makini sana na usikurupuke chukua muda mrefu kama wa mbu, au ukae tu bila mke ulee watoto wako

Ni maoni tu
 
Wewe unapropose kumpiga Mungu chenga unayoita divorce technical.

Mungu hapigiki chenga na wanadamu viumbe wake.
 

Now that is some advice Christians shouldn't follow... Dini ni kitu cha kuchukua makini, mtu anapaswa kuingia dini pya kwa sababu ana imani mungu/miungu wa/ya dini ile ile, na sio kwa sababu anataka kujikwamua mke wake au kupata wake zaidi. Mkristo wa kweli aliye mcha Mungu hatabadilisha dini yake just like that, whenever it's convinient.

On a side note, talaka yaruhusiwa ukristoni ikiwa mmojawapo wa wachumba ametenda kosa la uzinzi.
 
Kacheze kidali po wewe, naona ndoa yako iko kama zile za BABA na MWANA wakati tuko watoto....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…