Dawa ya mwanamke anayependa kununa!

Dawa ya mwanamke anayependa kununa!

Asanteni wana jf ila suala la kubembeleza nimebembeleza mpaka mi mwenyewe nalia bado haelewi yaan kananitesa sana haka kabint kanavyonuna!
 
Dawa yake hii hapa chini soma

My next-door neighbour Mzee Kamau had an argument with his wife who got too angry, packed her bags and went back to her parents home.


Unfortunately for her, she had to pass her husband's home everyday as she went to and from work and even to the shops. Days passed and still Mrs Kamau did not go back to her house until Kamau realized that she was not coming back and he decided to go to Nakumatt.

When he got to Nakumatt, he bought five XXL ladies panties in five different colours. Then here comes Kamau's wife passing by her house going to her parents home only to see one XXL Red panty hanging from the wash line.......she pretends to ignore it!

The following day there is a XXL Pink panty hanging on the line....she once again pretends to ignore it but she is fuming inside.

The next morning there is a Blue panty hanging on the line and guess what. she couldn't hold it any longer..........Kamau sees his fuming wife approaching him, "Kaaamau.........no fat woman of yours will make me leave my home, I am back........."

hahaha kweli hii dawa.
mzee hakutaka mabembelezano.
 
Asanteni wana jf ila suala la kubembeleza nimebembeleza mpaka mi mwenyewe nalia bado haelewi yaan kananitesa sana haka kabint kanavyonuna!


Hahahahhahahhaaaaaaaaa! Yaani mpaka unalia........ hii kali.
 
Dawa (cure)ya kununa ni negligence only....................nyingine ni analgesics

Yaani akinunua get to something involving.......huyo ni attention seeker. Kama vipi we safiri ukirudi utamkuta anacheka

Na umueleze kabisa, sababu ya kusafiri ni wewe, ngoja nikupishe unune nikirudi utakuwa mnuno umeisha, kama haujaisha nitaondoka tena mpaka mnuno uishe na ukirudia kununa ndo hivyo tena nitakuwa nasafiri mpaka mnuno uishe. Kununa nuna si vizuri bwana!!!!!!!!!!!!! Maisha yenyewe yakuwapi ya kununiana, Ila kuna saa inabidigi tu mtu unune hata mi sijui ni kwa nini uwa kuna saa wanawake wanajisikia kununa kwa wapenzi wao? Kama vile ambavyo kwa nini bwana JK hajui kwa nini watanzania ni masikini.
 
Huyo mbona yupo sawa tu. Wewe endelea na shughuli zako mpaka atakapokuwa tayari kuongea.
 
ukifika nawe no story shika mkono weka kitandan unamvua ngua mchengo unalala.
 
dawa ya mwanamke kama huyo ndogo sana, akinuna wewe dont bother wala usimbe,beleze nadhani atajifunza,thats big experience i can give you
 
Sawa wakubwa ila dawa mnayonipa ni ya ukwel,nmeanza kujaribu moja baada ya moja namuona haoni kama kununa ni dili,kama kuna ya ziada ili nmpige gol la faulu ya katkat ya uwanja!
 
Back
Top Bottom