Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Naomba msaada please wa njia asilia wa kupunguza/kutatua tatizo la nguvu za kiume hasa kuwahi kufika. Ahsante

saga vitunguu swaumu changanya na juice ya limao kunywa mchanganyiko wako vijiko viwili vya chakula.Saga kunywa hiyo hali itaisha.ni pm
 
ni pm mkuu nikulekeze cha kufanya uweze kupiga hadi goli sita hiko kitu nikikuelekeza leo kesho kutwa tatizo limeisha kabisa gharama ya maelezo hayo ni tsh elfu 5 tu


mkuu nipo elimu, book 5 sio issue usijali
 
Hivi ni kweli wanawake kuacha mapaja yao wazi na baadhi ya sehemu zao hupunguza nguvu za kiume?

Nawasilisha
 
Mmeona kuzisingizia chips haitoshi mmeamua kutusingizia na sisi....
 
Unaweza kunielezea mkuru utafiti coz Jana hapa chuoni kwetu tulibishana sana kuhusu mambo ya emotional and physical ambazo zina-cause some dysfunction. Na hatukufikia muafaka

Jiulize kwanini ma-modo wengi ni ma-gay? Au wanaume wanaofanya kazi salon za kike wanakuaje?? Utapata jibu.
 
Kizazi hiki hakiishi visingizio.
Kwan suala la mapaja kuwa nje limeanza leo? Mbona tangu enzi?
Babu zetu walikuwa wanafunga magome ya miti wanaziba pummbu tu na bibi zetu waliziba maku tu sasa kwann hawakupungukiwa nguvu za kiume?

Tatizo hamfanyi mazoezi,mnakula bagger, michips bloila, mivyakula ya kizungu yenye kemiko ndio vyakula vyenu...
Mnaangalia ex mnapiga mipunyeto mnadhan mtakuwa na nguvu kweli.
 
Nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana siku hizi! waganga nao sasa hasa wa mjini wanatumia mwanya huo kuibia watu kwa kuchanganya madude madude na Viagra! Pia wale watu wa mikoani wanapata shida kupata mchuzi wa pweza ambapo kakipande ka pweza kana bei kama nini?

Ukitaka kujua huna nguvu za kiume, pima umbali wa mita 3 alafu kojoa ule mkojo wa ahsubuhi ukiona hauvuki alama ya umbali huo basi ujue hata wakati wa ku-ejaculate zile kitu mkeo hazisikii zikiingia nakumtia mwasha washa! mwingine akiingia tu anamaliza mkewe ndio kwanza anahisi kuanza huku mzee risasi ndio umeagiza!

TUMIA HII DAWA IKUOKOE: Vitunguu maji + siagi + asali

Hivi vitu havina gharama lakini ni dawa wewe fanya hivyo one wiki njoo hapa utaniambia siku hizi shemeji anaomba poo!

kama inakuchanganya tumia maziwa ya ng'ombe wa kienyeji na asali mbichi just kijiko kimoja kwenye glass moja ya maziwa alafu tafuna kipande cha kitunguu maji meza maji yake! tengeneza kila unapo taka kutumia! tumia kwa siku mara mbili kwa muda wa wiki nzima then njoo hapa toa ushuhuda wako!

Jamani ukitumia dawa hii asali kazi yake ya kwanza ni kusafisha hilo tumbo lako kama kuna uchafu na njia pekee ya kuutoa ni kuharisha hivyo ntakushangaa usipotoa jibu hilo! kama hutaharisha ujue uchafu tumboni kwako hakuna, baada ya hapo dawa huanza kufanya kazi iliyokusudiwa! na dawa nzuri jamani tengeneza mwenyewe usipende kutengenezewa, naombeni mrejesho wenu ila naamini mwisho wasiku ukifuata mashariti lazima upone!

N:B
Epuka kununua dawa za kuchanganya changanywa huku hujui ni vitu gani vimechanganywa mnaibiwa wanachanganya na VIAGRA. Kwa matatizo mengine nitafuteni PM kama ugumba, uvimbe wa kizazi, kutoingia hedhi, kuto pata choo kwa muda mrefu, kulala kwa kupitiliza, kusahau n.k hunilipi chochote na vyote unajitengenezea mwenyewe hii ndio faida ya mtandao bwana!

Asali original ukiweka kwenye maji inaenda hadi chini lakini iliyochakaliwa ukiweka tu inatapakaa kwenye maji! tumia asali original!

View attachment 137964

hii ndio orginal, ili kujua asali original

Pia kuna wanawake wana shida hiyo vp kuhusu kuwasaidia na wao?
 
Back
Top Bottom