mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,922
- 3,618
Piga miwa badala ya asali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua watu wengi hawaelewi kuwahi kufika kileleni sio tatzio la nguvu za kiume, bali tu ni uwezo wa kushindwa kuhimili mikiki ya michezo na hi inatokana na hisia za karibu, sasa kama utashindwa kuenda roundi nyengine baada ya moja hapo ndio tutasema una tatizo hilo
Asante kwa kutupa pole.Yani migegedo yenu ishakuwa skrepa daily inatafutiwa dawa...poleni wanaume.
nafahamu ya asali + kitunguu swaumu+ tangawizi= loko viagra, jaribu uone
Nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana siku hizi! waganga nao sasa hasa wa mjini wanatumia mwanya huo kuibia watu kwa kuchanganya madude madude na Viagra! Pia wale watu wa mikoani wanapata shida kupata mchuzi wa pweza ambapo kakipande ka pweza kana bei kama nini?
Ukitaka kujua huna nguvu za kiume, pima umbali wa mita 3 alafu kojoa ule mkojo wa ahsubuhi ukiona hauvuki alama ya umbali huo basi ujue hata wakati wa ku-ejaculate zile kitu mkeo hazisikii zikiingia nakumtia mwasha washa! mwingine akiingia tu anamaliza mkewe ndio kwanza anahisi kuanza huku mzee risasi ndio umeagiza!
TUMIA HII DAWA IKUOKOE: Vitunguu maji + siagi + asali
Hivi vitu havina gharama lakini ni dawa wewe fanya hivyo one wiki njoo hapa utaniambia siku hizi shemeji anaomba poo!
kama inakuchanganya tumia maziwa ya ng'ombe wa kienyeji na asali mbichi just kijiko kimoja kwenye glass moja ya maziwa alafu tafuna kipande cha kitunguu maji meza maji yake! tengeneza kila unapo taka kutumia! tumia kwa siku mara mbili kwa muda wa wiki nzima then njoo hapa toa ushuhuda wako!
Jamani ukitumia dawa hii asali kazi yake ya kwanza ni kusafisha hilo tumbo lako kama kuna uchafu na njia pekee ya kuutoa ni kuharisha hivyo ntakushangaa usipotoa jibu hilo! kama hutaharisha ujue uchafu tumboni kwako hakuna, baada ya hapo dawa huanza kufanya kazi iliyokusudiwa! na dawa nzuri jamani tengeneza mwenyewe usipende kutengenezewa, naombeni mrejesho wenu ila naamini mwisho wasiku ukifuata mashariti lazima upone!
N:B
Epuka kununua dawa za kuchanganya changanywa huku hujui ni vitu gani vimechanganywa mnaibiwa wanachanganya na VIAGRA. Kwa matatizo mengine nitafuteni PM kama ugumba, uvimbe wa kizazi, kutoingia hedhi, kuto pata choo kwa muda mrefu, kulala kwa kupitiliza, kusahau n.k hunilipi chochote na vyote unajitengenezea mwenyewe hii ndio faida ya mtandao bwana!
Asali original ukiweka kwenye maji inaenda hadi chini lakini iliyochakaliwa ukiweka tu inatapakaa kwenye maji! tumia asali original!
View attachment 137964
hii ndio orginal, ili kujua asali original
Science uliyo soma wewe ni ipi sasa? umefanya innovation gani hapa nchini! acha dharau, akili ya mnywa gongo hiyo mkuu!
mkuu hiyo siagi ni blue band au ni ipi hiyo?Kijiko kimoja cha asali + kijiko kimoja cha siagi + kijiko kimoja cha juisi ya kitunguu maji kwa siku mara mbili! wiki moja tu mkuu umepona!!!!!!!!!!!!!!
Siagi ipi sasa,ya asili au hizi za madukani??Kijiko kimoja cha asali + kijiko kimoja cha siagi + kijiko kimoja cha juisi ya kitunguu maji kwa siku mara mbili! wiki moja tu mkuu umepona!!!!!!!!!!!!!!
maziwa ya ngombeSiagi ipi sasa,ya asili au hizi za madukani??
Siagi ipi? inajulikana kuwa siagi ni mafuta kama tanbond ya kupaka mikate, karanga paste, mgando wa mafuta ya ng'ombe n.k. Sasa wewe unamaanisha ipi?Nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana siku hizi! waganga nao sasa hasa wa mjini wanatumia mwanya huo kuibia watu kwa kuchanganya madude madude na Viagra! Pia wale watu wa mikoani wanapata shida kupata mchuzi wa pweza ambapo kakipande ka pweza kana bei kama nini?
Ukitaka kujua huna nguvu za kiume, pima umbali wa mita 3 alafu kojoa ule mkojo wa ahsubuhi ukiona hauvuki alama ya umbali huo basi ujue hata wakati wa ku-ejaculate zile kitu mkeo hazisikii zikiingia nakumtia mwasha washa! mwingine akiingia tu anamaliza mkewe ndio kwanza anahisi kuanza huku mzee risasi ndio umeagiza!
TUMIA HII DAWA IKUOKOE: Vitunguu maji + siagi + asali
Hivi vitu havina gharama lakini ni dawa wewe fanya hivyo one wiki njoo hapa utaniambia siku hizi shemeji anaomba poo!
kama inakuchanganya tumia maziwa ya ng'ombe wa kienyeji na asali mbichi just kijiko kimoja kwenye glass moja ya maziwa alafu tafuna kipande cha kitunguu maji meza maji yake! tengeneza kila unapo taka kutumia! tumia kwa siku mara mbili kwa muda wa wiki nzima then njoo hapa toa ushuhuda wako!
Jamani ukitumia dawa hii asali kazi yake ya kwanza ni kusafisha hilo tumbo lako kama kuna uchafu na njia pekee ya kuutoa ni kuharisha hivyo ntakushangaa usipotoa jibu hilo! kama hutaharisha ujue uchafu tumboni kwako hakuna, baada ya hapo dawa huanza kufanya kazi iliyokusudiwa! na dawa nzuri jamani tengeneza mwenyewe usipende kutengenezewa, naombeni mrejesho wenu ila naamini mwisho wasiku ukifuata mashariti lazima upone!
N:B
Epuka kununua dawa za kuchanganya changanywa huku hujui ni vitu gani vimechanganywa mnaibiwa wanachanganya na VIAGRA. Kwa matatizo mengine nitafuteni PM kama ugumba, uvimbe wa kizazi, kutoingia hedhi, kuto pata choo kwa muda mrefu, kulala kwa kupitiliza, kusahau n.k hunilipi chochote na vyote unajitengenezea mwenyewe hii ndio faida ya mtandao bwana!
Asali original ukiweka kwenye maji inaenda hadi chini lakini iliyochakaliwa ukiweka tu inatapakaa kwenye maji! tumia asali original!
View attachment 137964
hii ndio orginal, ili kujua asali original
Ngoja Nijitibu nitaleta mrejeshoNguvu za kiume ni tatizo kubwa sana siku hizi! waganga nao sasa hasa wa mjini wanatumia mwanya huo kuibia watu kwa kuchanganya madude madude na Viagra! Pia wale watu wa mikoani wanapata shida kupata mchuzi wa pweza ambapo kakipande ka pweza kana bei kama nini?
Ukitaka kujua huna nguvu za kiume, pima umbali wa mita 3 alafu kojoa ule mkojo wa ahsubuhi ukiona hauvuki alama ya umbali huo basi ujue hata wakati wa ku-ejaculate zile kitu mkeo hazisikii zikiingia nakumtia mwasha washa! mwingine akiingia tu anamaliza mkewe ndio kwanza anahisi kuanza huku mzee risasi ndio umeagiza!
TUMIA HII DAWA IKUOKOE: Vitunguu maji + siagi + asali
Hivi vitu havina gharama lakini ni dawa wewe fanya hivyo one wiki njoo hapa utaniambia siku hizi shemeji anaomba poo!
kama inakuchanganya tumia maziwa ya ng'ombe wa kienyeji na asali mbichi just kijiko kimoja kwenye glass moja ya maziwa alafu tafuna kipande cha kitunguu maji meza maji yake! tengeneza kila unapo taka kutumia! tumia kwa siku mara mbili kwa muda wa wiki nzima then njoo hapa toa ushuhuda wako!
Jamani ukitumia dawa hii asali kazi yake ya kwanza ni kusafisha hilo tumbo lako kama kuna uchafu na njia pekee ya kuutoa ni kuharisha hivyo ntakushangaa usipotoa jibu hilo! kama hutaharisha ujue uchafu tumboni kwako hakuna, baada ya hapo dawa huanza kufanya kazi iliyokusudiwa! na dawa nzuri jamani tengeneza mwenyewe usipende kutengenezewa, naombeni mrejesho wenu ila naamini mwisho wasiku ukifuata mashariti lazima upone!
N:B
Epuka kununua dawa za kuchanganya changanywa huku hujui ni vitu gani vimechanganywa mnaibiwa wanachanganya na VIAGRA. Kwa matatizo mengine nitafuteni PM kama ugumba, uvimbe wa kizazi, kutoingia hedhi, kuto pata choo kwa muda mrefu, kulala kwa kupitiliza, kusahau n.k hunilipi chochote na vyote unajitengenezea mwenyewe hii ndio faida ya mtandao bwana!
Asali original ukiweka kwenye maji inaenda hadi chini lakini iliyochakaliwa ukiweka tu inatapakaa kwenye maji! tumia asali original!
View attachment 137964
hii ndio orginal, ili kujua asali original
Ndugu inafaa kinamama hii au madume pekeeNguvu za kiume ni tatizo kubwa sana siku hizi! waganga nao sasa hasa wa mjini wanatumia mwanya huo kuibia watu kwa kuchanganya madude madude na Viagra! Pia wale watu wa mikoani wanapata shida kupata mchuzi wa pweza ambapo kakipande ka pweza kana bei kama nini?
Ukitaka kujua huna nguvu za kiume, pima umbali wa mita 3 alafu kojoa ule mkojo wa ahsubuhi ukiona hauvuki alama ya umbali huo basi ujue hata wakati wa ku-ejaculate zile kitu mkeo hazisikii zikiingia nakumtia mwasha washa! mwingine akiingia tu anamaliza mkewe ndio kwanza anahisi kuanza huku mzee risasi ndio umeagiza!
TUMIA HII DAWA IKUOKOE: Vitunguu maji + siagi + asali
Hivi vitu havina gharama lakini ni dawa wewe fanya hivyo one wiki njoo hapa utaniambia siku hizi shemeji anaomba poo!
kama inakuchanganya tumia maziwa ya ng'ombe wa kienyeji na asali mbichi just kijiko kimoja kwenye glass moja ya maziwa alafu tafuna kipande cha kitunguu maji meza maji yake! tengeneza kila unapo taka kutumia! tumia kwa siku mara mbili kwa muda wa wiki nzima then njoo hapa toa ushuhuda wako!
Jamani ukitumia dawa hii asali kazi yake ya kwanza ni kusafisha hilo tumbo lako kama kuna uchafu na njia pekee ya kuutoa ni kuharisha hivyo ntakushangaa usipotoa jibu hilo! kama hutaharisha ujue uchafu tumboni kwako hakuna, baada ya hapo dawa huanza kufanya kazi iliyokusudiwa! na dawa nzuri jamani tengeneza mwenyewe usipende kutengenezewa, naombeni mrejesho wenu ila naamini mwisho wasiku ukifuata mashariti lazima upone!
N:B
Epuka kununua dawa za kuchanganya changanywa huku hujui ni vitu gani vimechanganywa mnaibiwa wanachanganya na VIAGRA. Kwa matatizo mengine nitafuteni PM kama ugumba, uvimbe wa kizazi, kutoingia hedhi, kuto pata choo kwa muda mrefu, kulala kwa kupitiliza, kusahau n.k hunilipi chochote na vyote unajitengenezea mwenyewe hii ndio faida ya mtandao bwana!
Asali original ukiweka kwenye maji inaenda hadi chini lakini iliyochakaliwa ukiweka tu inatapakaa kwenye maji! tumia asali original!
View attachment 137964
hii ndio orginal, ili kujua asali original
Mkuu wanawake inafaa hii
IRON LADY!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani kwa ufaham wangu mdogo tu. mita 1.8288 = foot 6 = urefu wa kawaida wa kitanda.
Hivyo basi wadau, kwa mita 3 wala usipate shida kupata kipimo. Chukua kamba, pima urefu wa kitanda chako alafu ongezea nusu yake. Kisha kunjua hiyo kama then rusha huo mkojo wako uvuke.
Kama hauna mota ya maji kiunoni basi kaa kimya.