Kule kwetu ikikupata hii tunakunywa magadi. Yale ya kutengeneza kiburu. Kwa huku naona wengine wanakulaga majivu. Mimi nikinywa maziwa fresh huwa namaliza kabisa. Au labda kwa kuwa cha kwangu kinasababishwa na mitungi.
Mkuu,kutengeneza kiburu
yani mkuu umenikuna kweli nimekimis sana sijui lini nitakwenda kwetu
Chris,
Huyu mwenye tatizo hili hata akitumia maziwa au magadi, hapati suluhisho la kudumu.
Tatizo la kiungulia linatokana na Mwili kupungukiwa maji kwa kiasi kikubwa. Ukienda Hospitalini unapewa ant acid kama vile Magnesium trisilicate. Dawa Hizi usaidia kwa muda. Ila tangu sasa ujue kuwa unatakiwa unywe maji ya kutosha. Mwili wako asilimia 72 -75% ya uzito ni maji. Damu ya mwanadamu maji ni asilimia 83%. Ukinywa maji mara kwa mara kwa uchache lita 3 -4 kwa siku ( saa 24) Kiungulia itakuwa hadhithi. Maji (H20) pure water hususan Natural spring Water hayana mbadala. Asikudanganye mtu eti nakunywa bia au soda, vinywaji hivyo hushindandana na mwili na huishia kuchukua maji mwilini, na hivyo vinywaji hivyo vinaponywewa inashauriwa mtu anywe maji kiasi cha ujazo wa bia au soda uliyokunywa. Good luck
ninatatizo hilo, lakini daktari juzi tu kanipa madawa fulani sikumbuki jina, natumia kwa siku 14, kisha amenambia, nikiwa nakunywa bia ama soda lazima ninywe na maji katika uwiano wa moja kwa moja yaani 1:1, hilo ndo suluhisho, sasa na siku ya saba natumia dawa hizo ....ila asanteni kwa useful posts.Tatizo la kiungulia linatokana na Mwili kupungukiwa maji kwa kiasi kikubwa. Ukienda Hospitalini unapewa ant acid kama vile Magnesium trisilicate. Dawa Hizi usaidia kwa muda. Ila tangu sasa ujue kuwa unatakiwa unywe maji ya kutosha. Mwili wako asilimia 72 -75% ya uzito ni maji. Damu ya mwanadamu maji ni asilimia 83%. Ukinywa maji mara kwa mara kwa uchache lita 3 -4 kwa siku ( saa 24) Kiungulia itakuwa hadhithi. Maji (H20) pure water hususan Natural spring Water hayana mbadala. Asikudanganye mtu eti nakunywa bia au soda, vinywaji hivyo hushindandana na mwili na huishia kuchukua maji mwilini, na hivyo vinywaji hivyo vinaponywewa inashauriwa mtu anywe maji kiasi cha ujazo wa bia au soda uliyokunywa. Good luck
Nashukuru kwa reference mkuu.
Dawa ni nyingi hivi?
Bado wapo hapa hapa mkuu.Mkuu Exaud, nime-visit hiyo thread ya Sita Sita nikafurahi kuona nondo zilizotolewa humo. Hao wachangiaji makini wako wapi siku hizi? Nadhani wakati huo JF used to be the real home of Great Thinkers!
Mkuu umetapika nini?