drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 290
Kule kwetu ikikupata hii tunakunywa magadi. Yale ya kutengeneza kiburu. Kwa huku naona wengine wanakulaga majivu. Mimi nikinywa maziwa fresh huwa namaliza kabisa. Au labda kwa kuwa cha kwangu kinasababishwa na mitungi.
kutengeneza kiburu
yani mkuu umenikuna kweli nimekimis sana sijui lini nitakwenda kwetu