Dawa ya pimles

japhetjason

New Member
Joined
Dec 15, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Habari zenu wapendwa,,tafafhali naomba kujua tiba ya pimples usoni maana uso wangu una mafuta halafu una pimples ambazo ukizikamua zinatoka mafuta.....Kama kuna mtu anaejua tiba yake anifahamishe tafadhali...ahsanteni.
 
Habari zenu wapendwa,,tafafhali naomba kujua tiba ya pimples usoni maana uso wangu una mafuta halafu una pimples ambazo ukizikamua zinatoka mafuta.....Kama kuna mtu anaejua tiba yake anifahamishe tafadhali...ahsanteni.

Tafuta Mate Ya KIFARU Tena Mvizie Akiwa Anakula Chakula Kisha Jipake Na Tatizo Lako Litakuwa Kwishnei Milele. Tena Awe Ni KIFARU Jike.
 
Habari zenu wapendwa,,tafafhali naomba kujua tiba ya pimples usoni maana uso wangu una mafuta halafu una pimples ambazo ukizikamua zinatoka mafuta.....Kama kuna mtu anaejua tiba yake anifahamishe tafadhali...ahsanteni.

Punguza punyeto utapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…