japhetjason
New Member
- Dec 15, 2014
- 2
- 0
Habari zenu wapendwa,,tafafhali naomba kujua tiba ya pimples usoni maana uso wangu una mafuta halafu una pimples ambazo ukizikamua zinatoka mafuta.....Kama kuna mtu anaejua tiba yake anifahamishe tafadhali...ahsanteni.