utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,667
Habari wana jf, mimi ni kijana umri kati ya 22-28, sijaoa ila nina mchumba, nina kazi ambayo inanifanya nakua busy kila siku. kuna hili tatizo sijui nini kimenitokea ila najiona nina-stress sana, muda mwingi najiona sina amani na kwakweli sijui nini, naomba kujua kama huu ni ugonjwa au ni nini? najaribu kuwa karibu na marafiki, kazi, mchumba na muda mwingi nakua jf tena napendelea jukwaa la 'jokes' ili niwe normal..msaada plz..